Msaada wa kisheria kesi ya kazi

whitehorse

JF-Expert Member
Aug 29, 2009
2,565
4,426
Wadau wa uga huu wa kisheria naomba msaada. Nilikuwa na kesi na mwajiri wangu baada ya kunitimua kazini kinyume na taratibu. Kesi ilisikilizwa nikashindwa mwajiri akakata rufaa. Hii ilikuwa 2010 kesi iliendelea ikafikia mwisho wakati wa kusoma hukumu ikaonekana kuna makosa kidogo ya kibinaadamu kuwa mwaka nilionza kazi haulingani na ule mwaka nilioandika wakati nafaili kesi. Hivyo jaji akaamuru mwajiri alete vithibisho vya lini nilianza kazi hii ilikuwa 2011 mwishoni. Hadi naandika leo hii sijawahi kuletewa summons na nikienda CMA ni kizunguzungu je hadi leo hii ile kesi itakuwepo kweli naomba kujua kisheria kesi inakaa muda gani hadi kutupiliwa mbali.

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Naomba msaada jamani humu ndani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hbr zenu washirika wenzangu, leo napenda kufahamu juu ya yale anayostahili kulipwa mfanyakazi/kibarua wa ujenzi aliyeajiriwa kwenye kampuni ya ujenzi na kusaini "oral contract form" baada ya kumaliza/kufukuzwa kazi kabla ya kumalizika kwa mradi.
Ahsante,
Wako,
Mbaya1978.
 
Wadau wa uga huu wa kisheria naomba msaada. Nilikuwa na kesi na mwajiri wangu baada ya kunitimua kazini kinyume na taratibu. Kesi ilisikilizwa nikashindwa mwajiri akakata rufaa. Hii ilikuwa 2010 kesi iliendelea ikafikia mwisho wakati wa kusoma hukumu ikaonekana kuna makosa kidogo ya kibinaadamu kuwa mwaka nilionza kazi haulingani na ule mwaka nilioandika wakati nafaili kesi. Hivyo jaji akaamuru mwajiri alete vithibisho vya lini nilianza kazi hii ilikuwa 2011 mwishoni. Hadi naandika leo hii sijawahi kuletewa summons na nikienda CMA ni kizunguzungu je hadi leo hii ile kesi itakuwepo kweli naomba kujua kisheria kesi inakaa muda gani hadi kutupiliwa mbali.

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
cma wanasemaje? mara ya mwisho iyo 2011 kesi ilitajwa lini?
 
Mara ya mwisho nilienda pale CMA February. Nikaambiwa jaji anaysikiliza kesi yetu kaenda nje ya nchi. Tangu siku hiyo nikaenda tena mwezi March, 2011 jaji kaenda mikoani. Kwa kweli sijaenda tokea hapo

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
 
Mara ya mwisho nilienda pale CMA February. Nikaambiwa jaji anaysikiliza kesi yetu kaenda nje ya nchi. Tangu siku hiyo nikaenda tena mwezi March, 2011 jaji kaenda mikoani. Kwa kweli sijaenda tokea hapo

Sent from my BlackBerry using JamiiForums
katika ofisi nyingi cma hakuna majaji wa kudumu, majaji huja kutoka Dar kwa vipindi maalum wanasikiliza kesi na kuondoka,hivyo mara kesi huchukua muda mrefu sana kuisha huna haja ya kukataa tamaa
 
Back
Top Bottom