Balozi Chriss
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 153
- 16
Naombeni wana JF mnisaidie katika jambo hili.Hivi kama jimbo limemchagua mbunge na bado hajaapishwa,sheria inasemaje katika hilo?
Hapa Arumeru Mashariki mbunge aliyechaguliwa anaumwa hata kabla ya kampeni za mwaka jana.Lakini kutokana na upumbavu wa wanaArumeru wachache wakampa ubunge eti kwa kuwa ni mzee na tene niwa CCM.
Huyu mzee naambiwa amelazwa mpaka leo na hajaapishwa.Vipi ni mbunge halali kweli?
Aliwahi kuwa naibu waziri wa Fedha 2005/10.
Hapa Arumeru Mashariki mbunge aliyechaguliwa anaumwa hata kabla ya kampeni za mwaka jana.Lakini kutokana na upumbavu wa wanaArumeru wachache wakampa ubunge eti kwa kuwa ni mzee na tene niwa CCM.
Huyu mzee naambiwa amelazwa mpaka leo na hajaapishwa.Vipi ni mbunge halali kweli?
Aliwahi kuwa naibu waziri wa Fedha 2005/10.