Msaada wa kisheria katika Jimbo la Arumeru Mashariki

Balozi Chriss

Senior Member
Jan 21, 2011
153
16
Naombeni wana JF mnisaidie katika jambo hili.Hivi kama jimbo limemchagua mbunge na bado hajaapishwa,sheria inasemaje katika hilo?
Hapa Arumeru Mashariki mbunge aliyechaguliwa anaumwa hata kabla ya kampeni za mwaka jana.Lakini kutokana na upumbavu wa wanaArumeru wachache wakampa ubunge eti kwa kuwa ni mzee na tene niwa CCM.
Huyu mzee naambiwa amelazwa mpaka leo na hajaapishwa.Vipi ni mbunge halali kweli?
Aliwahi kuwa naibu waziri wa Fedha 2005/10.
 
Naombeni wana JF mnisaidie katika jambo hili.Hivi kama jimbo limemchagua mbunge na bado hajaapishwa,sheria inasemaje katika hilo?
Hapa Arumeru Mashariki mbunge aliyechaguliwa anaumwa hata kabla ya kampeni za mwaka jana.Lakini kutokana na upumbavu wa wanaArumeru wachache wakampa ubunge eti kwa kuwa ni mzee na tene niwa CCM.
Huyu mzee naambiwa amelazwa mpaka leo na hajaapishwa.Vipi ni mbunge halali kweli?
Aliwahi kuwa naibu waziri wa Fedha 2005/10.
 
Kisheria huyo bado siyo mbunge kamili, ni mbunge mteule. Kwa maana nyingne arumeru mashariki hakuna mbunge poleni sana
 
Mpumbavu ni wewe na siyo wana Arumeru. Wao wametumia haki yao ya kikatiba ya kumchagua mtu wanayemtaka.
 
Sheria za Bunge zinasemaje kuhusu hilo? Kama ni mgonjwa sio kosa lake, ni la waliompa hiyo nafasi, wasubiri tu 2015 sio mbali wamchague mwingine.
 
Arumeru mashariki hawakumchagua solomon sumari, bali ccm kwa utashi na ubabe wake waliiba ushindi wa halali wa chadema. Mungu amsaidie apone ugonjwa unaomsumbua, ili aje ajitokeze hadharani kutangaza kuwa hakushinda, ila tume kwa utashi wa ccm walimtangaza mshindi. Najua atakaposema ukweli ccm watasema jamaa ameshakuwa taahira kutokana na ugonjwa unaomsumbua.
 
Naombeni wana JF mnisaidie katika jambo hili.Hivi kama jimbo limemchagua mbunge na bado hajaapishwa,sheria inasemaje katika hilo?
Hapa Arumeru Mashariki mbunge aliyechaguliwa anaumwa hata kabla ya kampeni za mwaka jana.Lakini kutokana na upumbavu wa wanaArumeru wachache wakampa ubunge eti kwa kuwa ni mzee na tene niwa CCM.
Huyu mzee naambiwa amelazwa mpaka leo na hajaapishwa.Vipi ni mbunge halali kweli?
Aliwahi kuwa naibu waziri wa Fedha 2005/10.
Kama hajaapishwa huyo si mbunge.
 
Oh, pole zao wanaameru! Bila kukose huyo ni Jeremia Sumari, hata hivyo mbona ukiachilia kuugua alikuwa kilaza tu yule! Kuhusu swali hoja yako ya kisheria, katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ibara ya 68, inaeleza wazi na kuweka bayana kuwa "kila Mbunge atatakiwa kuapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki shughuli za Bunge..." pia ibara ya 67 inatoa sifa za kustahili kuchaguliwa kuwa mbunge na hivyo kwa mjibu wa ibara hii Jeremia Sumari hakupoteza sifa ya kuchaguliwa kwa kuumwa kwake, vile vile kwa kuendelea kuumwa kwake hajapoteza sifa ila tu kwa kutoapishwa kwake hawezishiriki kazi yoyote ya kibunge ni mbunge mteule na hawezi kuacha kiti chake au uteule wake kwa kuendelea kuumwa kwani ibara ya 71 inamlinda! Ndo upungufu mojawapo wa katiba yetu.Imekula kwao wanaarumeru watawakilishwa na upumbavu wao! Wabunge wengi wa magamba wanaumwa, wewe jitu kama Wassira si yuko ICU yule! yuko mbunge mmoja hapa Sumbawanga mjini bonge la kilazaa ni darasa la saba feliya, kimsingi wabunge wa magamba ni aibu tupu duniani. NAWASILISHA
 
Mpumbavu ni wewe na siyo wana Arumeru. Wao wametumia haki yao ya kikatiba ya kumchagua mtu wanayemtaka.
<br />
<br />
Bado unaendelea na tabia yako eeh! ntakuitia Mwanakili aje akushughulikie na aweka picha naona bado unaendelea na tabia yako chafu
 
Mpumbavu ni wewe na siyo wana Arumeru. Wao wametumia haki yao ya kikatiba ya kumchagua mtu wanayemtaka.
<br />
<br />
hii vita ya maneno unayoitaka itakushinda muraa.....Nimejaliwa uwezo wa kumudu majukwaa yote muraa.
Sasa kama wao co wapumbavu wewe unadhani ni nini?Maana huyu magamba alikuwa mgonjwa na hata kampeni hakuhudhuria.
 
Mkuu,
Mimi ni mmeru upande wa mama yangu.Tangu enzi za Nyerere mpaka leo sijawahi kuona kitu chochote cha maana kilicholetwa na serikali. Labda siku hizi ila tangu zamani,hata hospitali za Patandi na Nkoaranga zilikuwa zinategemea sana kanisa. Serikali kwa wameru ni whatever...they don't really care about it, and since culturally they had an age-set system of organization...huwa wanawapa wazee wao ubunge outta respect and not because they expect something from them...like sarakikyas,Ole sitabaus ,sumaris...etc kwa dogo Nasari itakuwa kazi kidogo but things change and I humbly stand to be corrected.
<br />
<br />
hii vita ya maneno unayoitaka itakushinda muraa.....Nimejaliwa uwezo wa kumudu majukwaa yote muraa.
Sasa kama wao co wapumbavu wewe unadhani ni nini?Maana huyu magamba alikuwa mgonjwa na hata kampeni hakuhudhuria.
 
Mpumbavu ni wewe na siyo wana Arumeru. Wao wametumia haki yao ya kikatiba ya kumchagua mtu wanayemtaka.
<br />
<br />
Masaburi yako yanajitahidi kufikiria na kuchangia kila jambo ata kwa usilolijua huwezi kukaa kimya
 
Na vipi mwongozo wa bi kiroboto wakusema mmbunge asiposaini siku tatu unafukuzwa je hili rungu halimpitii huyu babu? Au kwavile magamba their above the law
 
Na vipi mwongozo wa bi kiroboto wakusema mmbunge asiposaini siku tatu unafukuzwa je hili rungu halimpitii huyu babu? Au kwavile magamba their above the law

angetokea ccm bi kiroboto lazima angetumia kanuni za bunge kumwondoa kwenye list yake
 
hatuombi hili litokee lakini ni lazima litatokea vip akifa bunge litatoa taarifa gani kwa umma na wabunge
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom