Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Je, jukumu la kumtunza/kumlisha mtu aliye rumande ya Polisi ni nani?
Ni polisi, ndugu au walalamikaji?
Ukiweka sheria na kifungu husika itapendeza zaidi.
NB: Hapa namaanisha mtu aliye rumande miezi kadhaa na hajapelekwa mahakamani.
Ni polisi, ndugu au walalamikaji?
Ukiweka sheria na kifungu husika itapendeza zaidi.
NB: Hapa namaanisha mtu aliye rumande miezi kadhaa na hajapelekwa mahakamani.