Msaada wa kisheria jamani:

tetestaly

Senior Member
Sep 10, 2015
126
59
Mm ni mfanyakazi katika tasisi moja hapa Dar es salaam nimefanya kazi katika tasis hii miaka 2 ba miezi sita, niliahidiwa kupewa mkataba ila ilichukua takribani mwaka mzima pasipo kupewa mkataba kila napodai naapiwa nitapewa nilivyoona muda unazidi kwenda basi nikaomba nipewe salary slip ila bado nilijibiwa ovyo na na wenye mamulaka, nikaenda tena kuulizia vipi pesa yangu ya NSSF napo nilijibiwa sikupewa jibu miaka miwili bila kulipwa pesa ya NSSF, baada ya mwaka mmoja nikaitwa kupewa mkataba amabo uliandika nusu ya mshahara wangu(besic salary) amabao ulionyesha masaa ya kazi ni masaa 11, nikauliza kwa nn mshara(besic salary)yangu imeandikwa nusu nakuandika ndo mshahara wangu wote kwa mwezi wakaidai eti ni kukwepa kodi ya serikali nikawaambia sasa hamuoni tunafanya kwa kuhujumu uchumi wa Tanzania maana hapo mnakwepa kodi ya serikali, baada ya kusema hivyo nikatishiwa kuachishwa kazi kwa kuwa na mimi sina chochote na familia inanitegemea nikaogopa kufukuzwa ikabidi nisaini ule mkataba feki nikiambiwa nisiwe na wasi wasi kodi ya serikali inalipwa, na nikakazwa kutoka inje na ule mkaba niliomba sana ili nije inje nitafute msaada ila walikataa na kudai nisaini niache pale pale, nikaendelea kufutilia nipewe kopi ya ule mkataba ila bado niliendelea kunyima na kuniona mimi kama adui wa tasisi walidai na hamasisha wengine. Mwanzoni mwa mwezi huu saba wameniterminate. Pasipo kupewa mshara wa mwezi wa tano, wa sita na wa saba na haki zangu zingine ninazostaili km mtumishi wao. Naombeni msaada wanasheria humu ili niweze pata haki zangu.
 
Mm ni mfanyakazi katika tasisi moja hapa Dar es salaam nimefanya kazi katika tasis hii miaka 2 ba miezi sita, niliahidiwa kupewa mkataba ila ilichukua takribani mwaka mzima pasipo kupewa mkataba kila napodai naapiwa nitapewa nilivyoona muda unazidi kwenda basi nikaomba nipewe salary slip ila bado nilijibiwa ovyo na na wenye mamulaka, nikaenda tena kuulizia vipi pesa yangu ya NSSF napo nilijibiwa sikupewa jibu miaka miwili bila kulipwa pesa ya NSSF, baada ya mwaka mmoja nikaitwa kupewa mkataba amabo uliandika nusu ya mshahara wangu(besic salary) amabao ulionyesha masaa ya kazi ni masaa 11, nikauliza kwa nn mshara(besic salary)yangu imeandikwa nusu nakuandika ndo mshahara wangu wote kwa mwezi wakaidai eti ni kukwepa kodi ya serikali nikawaambia sasa hamuoni tunafanya kwa kuhujumu uchumi wa Tanzania maana hapo mnakwepa kodi ya serikali, baada ya kusema hivyo nikatishiwa kuachishwa kazi kwa kuwa na mimi sina chochote na familia inanitegemea nikaogopa kufukuzwa ikabidi nisaini ule mkataba feki nikiambiwa nisiwe na wasi wasi kodi ya serikali inalipwa, na nikakazwa kutoka inje na ule mkaba niliomba sana ili nije inje nitafute msaada ila walikataa na kudai nisaini niache pale pale, nikaendelea kufutilia nipewe kopi ya ule mkataba ila bado niliendelea kunyima na kuniona mimi kama adui wa tasisi walidai na hamasisha wengine. Mwanzoni mwa mwezi huu saba wameniterminate. Pasipo kupewa mshara wa mwezi wa tano, wa sita na wa saba na haki zangu zingine ninazostaili km mtumishi wao. Naombeni msaada wanasheria humu ili niweze pata haki zangu.
Hao jamaa umewachelewesha....kesi yako ni mzito. Ripoti cma uanze kulala nao mbele. Kutokupeleka nssf Ni kosa, kutokupa mkataba Ni kosa, kukwepa kodi/misrepresentation ya mshahara kwa minajiri ya kukwepa kodi Ni kosa, kukufukusa nila kufuata taratibu za kisheria Ni kosa, na kutokupa malipo yako ni kosa. Seek a proper legal advise
 
Hao jamaa umewachelewesha....kesi yako ni mzito. Ripoti cma uanze kulala nao mbele. Kutokupeleka nssf Ni kosa, kutokupa mkataba Ni kosa, kukwepa kodi/misrepresentation ya mshahara kwa minajiri ya kukwepa kodi Ni kosa, kukufukusa nila kufuata taratibu za kisheria Ni kosa, na kutokupa malipo yako ni kosa. Seek a proper legal advise
Cma ndo wp
 
haya ngoja tuchambue kwanza malalamiko ya mdau na tuanze kuchungulia employment and labour relation act no 6 2004

1. Umefanya kazi mpaka sasa ni miezi 30 maana miaka miwili na miezi 6 ni miezi 30 bila mkataba na kuchangiwa nssf hili ni kosa kisheria maana NSSF act inasema m uajiri achangie 10% na wewe 10% na kuleta asilimia 20%
2. mkataba umeandikwa masaa 11 ya kazi sheria inasema masaa ya kufanya kazi yaanzie 45 kwa week hivyo basi ili ni kosa la pili kisheria
3. Baada ya mwaka mmoja ndo wakakupa mkataba wakati sheria ipo wazi inasema baada ya uangalizi wa miezi 3 au ukomo wake wa ungalizi wa miezi 6 mfayakazi anatakiwa kupewa mkataba hivyo ili kosa la 3 kisheria
4. Mkataba uliandika mshahara nusu bila ridhaa yako hii maana yake kwamba muajiri hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mfanyakazi kama hakuna makubaliaono ya pande zote mbili hili kosa lingine kisheria
5. mwezi wa 7 umefanyiwa termination sheria inasema mtu anaweza kusitishiwa mkataba kwa sababu kuu 4 ambazo ni utovu wa nidhamu, utendaji mbovu, kutoendana na tamaduni za kampuni na ridandasi kama sababu sio hizo basi muajiri anatakiwa kufanya makubaliano ya kusitisha ajira hivyo basi ili ni kosa jingine kisheria

endapo muajiri kwa hiyari yake mwenyewe kafanya termaniation inatakiwa alipe yafuatayo

kama kuna malipo yoyote ya nyuma kwa siku ulizofanya kazi mpaka siku anakuondoa
hapo unasema amekuondoa mwezi wa 7 hivyo ushavuka miezi 6 anatakiwa akulipe likizo ambayo ni mshahra wa mwezi mmoja
anakuondoa bila notes hapo anatakiwa alipe notes ya siku 28
mkataba wa mwaka maana yake ulitakiwa uishe december kama anausitisha anatakiwa kulipa miezi yote iliyobaki mpaka mkataba uishe
mwishoni akupe certificate of service
mkimalizana yote hayo atatakiwa kukupa barua ya termination ili ukaitumie kupata NSSF zako sasa hapo kama hakulipa iyo ni kesi nyingine mpya

Nashoshauri huyo boss wako mkae chini fanyeni mutual termination agreement to settle disputes

mwisho wa kuchangia
 
Back
Top Bottom