Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,213
- Thread starter
- #41
Imewahi kuwa mtumishi wa umma wewe? Au umeishia uhudumu wa ofisi?Ndio kakwambia hivyo?
Bashiru kateuliwa ubunge na huyo huyo Samia, kwanini uanze kusema hana imani nae?
Unajua madhara ya kumnyang'anya madaraka mtu aliyekuwa Katibu mkuu wa chama tawala na pia CS na kumuacha tuu?
Kama hilo huwezi kulijua basi kaa kimya