Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,702
- 71,013
Binadamu yeyote anapoonesha kuwa katika msongo wa mawazo anahitaji kupewa msaada wa kisaikolojia haraka kabla hali haijawa mbaya.
Huyu mheshimiwa asaidiwe na wale aliokuwa akiwahudumia kama KM maana wamemtosa hata kum address kama KM mstaafu hawataki.
Kauli yake ya " Ili ubaki na dola tumia dola kubaki na dola" naona kwake mwenyewe imeshindikana.
Nimepewa taarifa toka mjengoni kuwa jamaa anahitaji uangalizi na ushauri.
Asaidiwe!
Huyu mheshimiwa asaidiwe na wale aliokuwa akiwahudumia kama KM maana wamemtosa hata kum address kama KM mstaafu hawataki.
Kauli yake ya " Ili ubaki na dola tumia dola kubaki na dola" naona kwake mwenyewe imeshindikana.
Nimepewa taarifa toka mjengoni kuwa jamaa anahitaji uangalizi na ushauri.