Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
we nae unaona mada ya kiswahili unaleta tena lugha ya malkia
Tatizo sources nyingi zina kingereza.
we nae unaona mada ya kiswahili unaleta tena lugha ya malkia
Lakini ni kawaida ya Jambazi kama weweHili tatizo ninalo linanisumbua sana na siamini kama ipo siku nitakuwa normal kama watu wengine!
Napenda sana kukaa peke yangu sitaki mtu wa kunisumbua nilipo kaa,
Mda mwingine napenda kukaa na mtu ambae ni mwongeaji sana awe ananipigia story ambazo sijawahi kuskia popote pale niwe nakuskiliza tu nisiwe naogea chochote!
Hili nalo neno...kaburini ntaishi na nani?Kuna wakati ilinibidi nikae mwenyewe nikitoka kwenye mishe zangu natulia mwenyewe nyumbani maana lawama zilizidi hapa nina uzoefu wa kutosha wa kukaa pake yangu hata kaburini nitazoea faster mazingira mapya
meona eehh??....litaitwa me myself and ihe! kumbe tupo wengi basi tuunde group kabisa na special thread yetu
Ndugu acha utapeli unaua usha watapeli wote unaochekanao sasa unataka kuwaingia watu wapweke aka great think utapotea watu wa hivyo ni kama mm uwa atuna masiala na mpuuziiau na wewe ni bwana mwenyewe
ExcellentSometimes it happens when The Great thinker surrounded by ****** because the two type of guys have neither common ideas nor common approaches.
he! kumbe tupo wengi basi tuunde group kabisa na special thread yetu
meona eehh??....litaitwa me myself and i
teh teh teh mkuu umenichekesha sana aiseeee.Vp hata akianzisha uzi ana reply mwenyewe
Tutakua tumevunja desturi ya kufanya mambo peke peke
hahah duh kumbe hii ni desturi kabisa
waambie pacha wangu kanisani mara ya mwisho nilienda 2013Sifa zetu ni hizi
1 ni vigumu kuwa chama cha CCM
2 atuendiendi kwenye nyumba za ibada
3 atupendi mambo ya kinafiki
4 ufikili kwa kutumia akili
5 atupendi kusumbua mtu wala kusumbuliwa
6 atupendi kujionyesha kipumbavu
Hata ni baadhi tu
sio kweli tuna roho nzuri tu sema hatupendi keleleMkuu nimekuja kugundua sisi watu wa kimya most of them tunatafsirika ni Wenye dharau, kiburi, kujisikia na wachoyo.
Ndio mkuu
Tudumishe miiko
waambie pacha wangu kanisani mara ya mwisho nilienda 2013
wewe mnafiki?Sifa zote ninazo kasoro namba 3
wewe mnafiki?
namba3 ipi sasa?Hapana