Msaada wa kisaikolojia: Mtu anaependa kukaa mwenyewe

Huo ndo ukweli.
Hahhahaaaa.. Hakuna kitu ka icho.... Sema tu watu huwa mnatutafsiri vibaya may be tunaringa au vibur kumbe wala mkituzoea na kutuchulia kama tulivyo aisee mbna mtu unatam. Uendelee kukaa nasi tu!..... Unajua siku zote ukitaka ukosane na mtu basi we nenda na mawazo yakr yani kile anachofikili au kukisema wewe umpingr basi hapo mtaanzisha maongez kibaaaaoooooo.. Yote ya nin hayo mtu unamwitikia tu unakausha kama ni mwelewa utamwelewesha mara moja. Akiendelea kubisha baaasiii unakaaa kimyaa tuuuu....
 
I enjoy being alone or with few people wasizid wawili tena ninaowakubali sio kujichanganya changanya hovyo hovyo,nkishamsalimia mtu basi kila mtu ashike hamsini zake sitaki kujua mambo ya mtu na sitaki mtu kunijua jua unless nijisikie mwenyewe
Yea... Mtu akikujua tu basi shida.. Mana atataka ajue unafnya nin.. Unaishi wapi na nani khaa! Mwisho wa siku anakudhalau
 
Kuna wakati ilinibidi nikae mwenyewe nikitoka kwenye mishe zangu natulia mwenyewe nyumbani maana lawama zilizidi hapa nina uzoefu wa kutosha wa kukaa pake yangu hata kaburini nitazoea faster mazingira mapya
 
Hahhahaaaa.. Hakuna kitu ka icho.... Sema tu watu huwa mnatutafsiri vibaya may be tunaringa au vibur kumbe wala mkituzoea na kutuchulia kama tulivyo aisee mbna mtu unatam. Uendelee kukaa nasi tu!..... Unajua siku zote ukitaka ukosane na mtu basi we nenda tofauti na mawazo yake yani kile anachofikili au kukisema wewe umpinge basi hapo mtaanzisha maongez kibaaaaoooooo.. Yote ya nin hayo mtu unamwitikia tu unakausha kama ni mwelewa utamwelewesha mara moja. Akiendelea kubisha baaasiii unakaaa kimyaa tuuuu....
 
I think this article is useful.


Happiness in Solitude, by Beopjeong Sunim

Human existence is fundamentally about being alone. We’re born alone, live life as long as we can, and then eventually die alone. Although we may live our lives connected with others, we all maintain our own individual views and belief systems. Just as we each have different facial features, our individual karmic tendencies, which direct our lives, also differ.

We as individual practitioners seek out favourable conditions that allow us to remain in solitude. Though we may live in a community in any given location, we each live like hermits. We may rely on each other, but we do not become entangled with or attached to the lives of others. Above all, we value the profundity of independence and freedom.

Just as wild animals wander the forests in the search of food, we strive on alone to uncover autonomy and freedom. According to a verse from the Sutta Nipāta, an early Buddhist scripture:

If one acquires a clever companion, an associate righteous and wise, let him, overcoming all dangers, wander about with that person glad and thoughtful. If one does not acquire a clever companion, an associate righteous and wise, then as a king abandoning his conquered kingdom, let him wander alone like rhinoceros.

After all, people wish to live their lives like the lotus flower – untainted by the muddy environment it grows in.

In solitude one can exist as a whole, yet when surrounded by others one becomes a part of the whole. Krishnamurti, one of the most renowned spiritual mentors of our time, stated:

The single word ‘solitude’ demonstrates an untainted and innocent nature – free while being whole and unbroken. Only when you can stand alone can you finally remain untainted by the whole and live amongst the world. In lonesomeness, you can exist perfectly vibrant and supportive, as originally mankind is part of the totality.

In other words, individual entities must remain part of society.

Everything is interconnected. For example, an island which seemingly floats on the ocean has its roots firmly connected to the earth. As such, solitude and isolation also differ. Solitude is like a sharp hunger pang felt on the side of your stomach, while isolation can be compared to prisoners shut off from the world. Although solitude can bring clarity and purity, isolation is total disconnectedness without an outlet.

Ohiyesa, also known as Charles Eastman of the Dakota Indian tribe once said:

The Truth is closer to us when we are alone. That aloneness does not seem ever present in conversation with the Indians, the most important thing is worship. Often are you alone in nature – anyone who enters that solitude grows day by day and will know that there is joy.

This joy is aligned with the essence of life.

A person in solitude may remain in loneliness, though not become isolated. Although relationships can exist in solitude, there is no relationship that exists in isolation. All living beings require development and continually evolve through interconnectedness. In order to be with others especially while being alone, one must have perfect ‘self-management’ skills. If one neglects oneself and refuses to care, life without question will turn ugly.

Happiness and pleasure must be found in life, whether as an individual or in a group. Without joy and happiness life cannot be sustained. Happiness is obtained outside of oneself – when one finds oneself in the whole, life’s vitality and vigour can find their way through.

From this solitude happiness and joy will blossom.

‘Who walks life alone?’

‘The sun – the sun has gone alone.’
we nae unaona mada ya kiswahili unaleta tena lugha ya malkia
 
Mi hata mtu akitaka urafiki siukubali, mpaka niuanzishe mimi.

Watu wenyewe hawaeleweki then ukae unafuatanafuatana na mtu ambaye zaidi atakupotezea muda wako. Hata sasa niko mwenyewe nyumbani kimya. Mtu akipita nje ya geti anaweza dhania hakuna mtu.

Kuna faida nyingi za kuwa hivi ingawa hasara yake naona ni UCHOYO na KUJIONA KUWA UKO SAHIHI KWA KILA JAMBO maana mtu unakuwa umezoea KUWA mwenyewe mwenyewe KWA MUDA MREFU.
 
Hili tatizo ninalo linanisumbua sana na siamini kama ipo siku nitakuwa normal kama watu wengine!

Napenda sana kukaa peke yangu sitaki mtu wa kunisumbua nilipo kaa,

Mda mwingine napenda kukaa na mtu ambae ni mwongeaji sana awe ananipigia story ambazo sijawahi kuskia popote pale niwe nakuskiliza tu nisiwe naogea chochote!


 
1. Kukaa mwenyewe naona ni kujiamini na kuonesha una msimamo kwambo una uwezo wa kufkir na kupanga mikakati ya kutatua jambo pasipo kutangaza shda zako kwa mtu pale unaposhndwa ndipo unaomba msaada.
2. Inaleta heshima na hupunguza mazoea ya kinafki maana watu watafanya namna kuchunguza mambo yako ila watashndwa
3. Inakujenga kuwa unjiamini na kuondoa aibu maana unaweza ukasimama au kupita mbele za watu pasipo kujifkiria
 
Wazo lako zuri japo hukuliweka wazi sana.
Kuna sababu kadhaa na zenye milengo tofauti kama nitakuwa nimekuelewa.
1.Kutojiamini hasa unapokuwa na watu weng.... Hii humfanya mtu aamini kila anachofanya au kuongea aidha hayuko sahihi au kuna mtu anajua zaidi yake.Hivyo,anahofia mapokeo hasi ya wenzake(negative perceptions)
2.Kumbukumbu ya matendo aliyotendewa katika umri mdogo yaliyopelekea kuwa mwoga,hofu au upweke. Hii humpelekea mtu kutopenda hata watu wasijue anawaza nini.
3.Kujiamini zaidi kuwa unaweza kiasi cha kutotegemea msada wa mawazo na michango ya watu. Wapo watu huamini wanaweza/kujua kila kitu bila kujali wanajua kwa kiwango gani. Hali hii huwafanya watu hao huamini kuwa ni baadhi tu ya watu wenye uelewa kama wake....tena ambao ni wakufikirika ktk kichwa chake na siyo wale wanaomzunguka.Hivyo,kudharau wengine na kuona siyo wa hadhi yake kushirikiana nao.
4.Kupenda kutumia muda vizuri hasa kwa kile wanachokijua,kukiamini na kukifanya.Hii hasa ni kwa watu wenye uchu na malengo ya mafanikio.
5.Aliwahi kutengwa na siku zote hujiona ametengwa.Hamuamini mtu.
6.Ana historia ya uovu na anataka kudhibiti siri zake.

HATA HIVYO.....NI VEMA KUJUMUIKA PANAPOLAZIMU.KAMA INAKULETEA SHIDA NA HATA KUINGIA KATIKA MASUALA YA KUMSEMA MTU NI VEMA KUJIEPUSHA
Safi mawazo mazuri
 
Hahhahaaaa.. Hakuna kitu ka icho.... Sema tu watu huwa mnatutafsiri vibaya may be tunaringa au vibur kumbe wala mkituzoea na kutuchulia kama tulivyo aisee mbna mtu unatam. Uendelee kukaa nasi tu!..... Unajua siku zote ukitaka ukosane na mtu basi we nenda na mawazo yakr yani kile anachofikili au kukisema wewe umpingr basi hapo mtaanzisha maongez kibaaaaoooooo.. Yote ya nin hayo mtu unamwitikia tu unakausha kama ni mwelewa utamwelewesha mara moja. Akiendelea kubisha baaasiii unakaaa kimyaa tuuuu....
Hahaha Mimi na kiburi kimoja matata sana! Ukipita kwenye anga zangu lazma uni chape makofi!!

Na dharau naweza nikakudharau hadi ukajiuliza huko unako enda kama utafika salama ujafia njiani!!
 
Kuna wakati ilinibidi nikae mwenyewe nikitoka kwenye mishe zangu natulia mwenyewe nyumbani maana lawama zilizidi hapa nina uzoefu wa kutosha wa kukaa pake yangu hata kaburini nitazoea faster mazingira mapya

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
 
mkuu mi mmoja wapo. ninapokua kwenye watu wengi huwa nashindwa kuwa efficient najisikia nguvu zinaisha mwilini. huwa nahitaji mda wa kukaa peke yangu. na nikiwa peke yangu akili ndio inafanya kazi sana. huwa sipendi kelele kabisa so kuwa peke yangu naepukana na kelele
tupo wengi cjui kwanini?
 
Yea... Mtu akikujua tu basi shida.. Mana atataka ajue unafnya nin.. Unaishi wapi na nani khaa! Mwisho wa siku anakudhalau
Asipokudharau basi atajikuta anakuchukia kwa wivu akijua umemzidi mengi,binadamu sisi jmn
 
Habari wana JF,

Je ni tatizo gani la kisaikolojia alilonalo mtu anayependa kuishi mwenyewe, kufanya mambo yake mwenyewe, kupenda kukaa mbali na watu na hata wakiwepo wasiwe wengi sana na hata katika swala la kusoma kupenda kusoma mwenyewe kila kitu yeye ni mwenyewe, mwenyewe, mwenyewe.

Karibuni wakuu tumsaidie huyu bwana mwenyewe.
Huyo m2 hapendi usumbufuuuuuuu...........
 
Hahhahaaaa.. Hakuna kitu ka icho.... Sema tu watu huwa mnatutafsiri vibaya may be tunaringa au vibur kumbe wala mkituzoea na kutuchulia kama tulivyo aisee mbna mtu unatam. Uendelee kukaa nasi tu!..... Unajua siku zote ukitaka ukosane na mtu basi we nenda na mawazo yakr yani kile anachofikili au kukisema wewe umpingr basi hapo mtaanzisha maongez kibaaaaoooooo.. Yote ya nin hayo mtu unamwitikia tu unakausha kama ni mwelewa utamwelewesha mara moja. Akiendelea kubisha baaasiii unakaaa kimyaa tuuuu....
Mkuu nimekuja kugundua sisi watu wa kimya most of them tunatafsirika ni Wenye dharau, kiburi, kujisikia na wachoyo.
 
Back
Top Bottom