honey bee
Senior Member
- Nov 23, 2021
- 139
- 231
Wakuu,
Naombeni mawazo ya kisaikolojia ya jinsi gani naweza kujiondoa kabisa kwenye hili gonjwa la mahusiano na mapenzi.
Nimejaribu ushauri niliokuwa nikipatiwa, mpaka sasa nimefanikiwa kwa kiwango fulani!!
Naombeni mchango wenu nisifikirie kabisa kuhusu mapenzi kwa sasa, niwaze pesa tu!!
Issue ni serious.
Naombeni mawazo ya kisaikolojia ya jinsi gani naweza kujiondoa kabisa kwenye hili gonjwa la mahusiano na mapenzi.
Nimejaribu ushauri niliokuwa nikipatiwa, mpaka sasa nimefanikiwa kwa kiwango fulani!!
Naombeni mchango wenu nisifikirie kabisa kuhusu mapenzi kwa sasa, niwaze pesa tu!!
Issue ni serious.