BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,987
- 2,009
Habari wakuu,
Ninatumia account ya yahoo,sasa kuanzia leo mchana nimeanza kupokea delivery failure kwa e-mail ambazo nilishazituma hapo zamani na kujibiwa bila tatizo.Kitu kingine cha ajabu ni kwamba wengi wa rafiki zangu wamepokea e-mail toka kwangu yenye ujumbe uleule bila ya mimi kutuma.Je, inaweza kuwa hacked?Naomba msaada ili niwezze kuimarisha security ya account yangu.Ahsanteni
Ninatumia account ya yahoo,sasa kuanzia leo mchana nimeanza kupokea delivery failure kwa e-mail ambazo nilishazituma hapo zamani na kujibiwa bila tatizo.Kitu kingine cha ajabu ni kwamba wengi wa rafiki zangu wamepokea e-mail toka kwangu yenye ujumbe uleule bila ya mimi kutuma.Je, inaweza kuwa hacked?Naomba msaada ili niwezze kuimarisha security ya account yangu.Ahsanteni