Habari zenu wapenzi Naombeni msaada hivi kuna kipimo cha stress cha kutambua kuwa mtu ana mawazo? Maana naumwa nimepima kila kitu sinapati usingizi yani silali nakaa macho mpaka kunakucha nikijilazimisha kulala nikianza tu kusinzia mavitu yanajirudia kichwani
Nakuwa kama naota japo siko usingizini kikitoka hichi kinaingia hichi mpaka asubui, misuli inauma, miguu inawaka moto, vitu vinanitembelea mwilini kama sisimizi, nawashwa, naishiwa nguvu hasa usiku,
Nilienda hospitali wakanipa dawa za usingizi nikameza jana ndokabisa sikulala nilikaa macho nangaika mpaka kukakucha kwa kifupi dawa ilidunda hapa nafikiria sijui nimeze piriton hata 2 ili leo nilale maana nateseka sana jamani, naombeni mnisaidie maana nimefka sehemu natamani hata kufa nimekata tamaa
Nakuwa kama naota japo siko usingizini kikitoka hichi kinaingia hichi mpaka asubui, misuli inauma, miguu inawaka moto, vitu vinanitembelea mwilini kama sisimizi, nawashwa, naishiwa nguvu hasa usiku,
Nilienda hospitali wakanipa dawa za usingizi nikameza jana ndokabisa sikulala nilikaa macho nangaika mpaka kukakucha kwa kifupi dawa ilidunda hapa nafikiria sijui nimeze piriton hata 2 ili leo nilale maana nateseka sana jamani, naombeni mnisaidie maana nimefka sehemu natamani hata kufa nimekata tamaa