miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,073
- 1,021
Habarini za kazi wakuu,ninaomba msaada wa kazi ,Nina wadogo zangu wamemaliza Udsm tangu 2014,coz ya mazingira na Education ,please hata kazi zozote za vibarua anawezafanya ,lengo atafute mtaji wa biashara ,Ahsanteni kwa niaba ,Natanguliza shukrani zangu za dhati