jathurwa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 214
- 259
Ndugu zangu natumai mu wazima . Samahani kidogo kwa kuchukua muda wenu , naomba mwenye joining instructions za Bwiru girls secondary school anisaidie. Kuna ndugu yangu anahamia hapo kidato cha tano. Nimejaribu kuziangia mtandaoni lakini inaonekana zimefutwa . Tafadhali naombeni msaada shule zinafunguliwa Jumatatu..