Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,626
Muraaa!! sasa nimeamini kapisa!! wewe ni roho ya Mughaka kapisaa!! kapisa!! sasa nisaidie kuripa rikisasi ri mocha!! Haya majamaa yaliniundia kikundi nikapigwa eti rifanyakazi hewa wakati nilikuwepo! tatoo nasema niripata taabhu sana ya maisha mchini taisarama!!Kwa sasa achana naye na endelea na mambo yako, ila siku ukija kupata pesa na wadhifa, mshughulikie bila huruma huyo shetani.
Usioghope tatoo ntakorebha , tutumie rire ri ghari rako la taghisiii si pato ripo murua rinafanya ghasi ?? au uli liiusa zamani sana mura?? usisahau mapanga tutakhata kiungo kimocha kimocha tunaweka bhembeni arafu tonariangaria kwa macho km rina ria....
usisahau muraaa!! ni bhere impotanti...... Kwa sapapu Piplia inasema ''tumeumbwa kwa mfano wa Mungu!!'' kwa hiyo tutafanya ya Mungu. na Mungu alisema Kisasi tumuachie yeye Mungu ndiyo alipe sasa hapa watu hawaelewi' kuwa hata wao ni miungu!!
Kma wao watu ni miungu na wameumbwa kwa mfano wake walipizie hapo hapo!! km Mungu anavosema kisasi ni chake!! km ni chake ni chako pia si mnafanana???? Ila onyo kwa wale wasio kama Mungu tu ndo wasilipe kisasi, ni marufuku kwao kulipa.wasubili Mungu aje!!
Hakikisha unapolipa kisasi uwe km Mungu