MSAADA WA JINSI YA KUFICHA APPS KWENYE ANDROIDS.

ndammu

JF-Expert Member
Apr 21, 2017
3,407
3,799
Habari zenu ndugu na mnaendeleaje na hali huko mliko?

Niende moja kwa moja kwenye mada naomba msaada WA kuweza kuficha app kwenye simu YA android huku inafanya kazi.

Na jee nawezaje kuifichuwa pale ninapohitaji?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bonyeza hivyo vidoti vitatu juu kushoto utapata OPTION ya HIDE APPS na SHOW HIDEN APPS
Screenshot_2019-04-15-17-38-45.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom