Msaada wa jinsi ya kubadili Kadi ya gari, aliyeniuzia naye alilinunua kwa mtu na hakubadili umiliki, Kadi bado inasoma aliyeliagiza nje

Gari ni kesi inayotembea....

Unanunuaje gari kwa mtu huendi kwenye vyombo husika kuhakikisha umiliki wake kama ni wa halali...? hata kama uneuziwa elfu 30...kwa nini usiende TRA na kwa Vehicle inspector kujua uhalali wa gari..?

Au ikute liliwahi kufanya matukio ya ujambazi, liligonga mtu akafa na mengineyo meengi...

Nina rafiki yangu alinunua Carina TI kwa mtu Dar akaja nayo Arusha, kaendesha wiki mbili tu wazee wa kazi wakampiga ngeta..
Kumbe gari liliwahi kufanya uhalifu mkoa fulani, likakimbiziwa Dar, Likauzwa Arusha...kesi ya gari ilikuwa ni mbaya sana

Wazee wa kazi walimpa kauli moja tu, "unaachia gari au tuondoke wote"

Jamaa akakubali yaishe, gari likaondoka na hakurudishiwa hata mia....Mmiliki halali akaenda kutafutwa akajibu mashtaka yake.....


Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana ni kweli au siyo kweli

Kuna kamchezo kanafanywa nowdays.
 
Mkataba unachukua dakika ngapi kuandaa?
Una maana gani dada sijakuelewa.
Nimesema unawaonesha mkataba ule mliuziana gari siku hiyo. Kwenye huo mkataba tarehe si itaonekana.
Sasa masuala ya kuandaa mkataba sijaelewa.
 
Back
Top Bottom