MKONGORO
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 325
- 263
Wakuu mwanangu alipata ajali ya kuungua moto Kwa asilimia 75. Mungu mkubwa madakitari Wa hospitali ya jeshi Lugalopamoja na wale wa hospitali ya Taifa MUHIMBILI (heshema na shukrani zangu ziwafikie).
Walipambana hatimae mwanangu amepona na tayari ameanza tena kwenda shule baada ya miezi 7akiwa hospitalini, ila amebaki na makovu makubwa wakuu je kuna dawa inayo weza angalau kuyapunguza ukubwa kama so kuyaondoa kabisa?
Nata nguliza shukrani 0765544791
Walipambana hatimae mwanangu amepona na tayari ameanza tena kwenda shule baada ya miezi 7akiwa hospitalini, ila amebaki na makovu makubwa wakuu je kuna dawa inayo weza angalau kuyapunguza ukubwa kama so kuyaondoa kabisa?
Nata nguliza shukrani 0765544791