Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Habari za muda huu ndugu zangu kuna dawa za malaria zenyewe zina kaa 3 unakunywa mara moja tu kama SP jina lake nimelisahau kiufasaha kabisa lakini nachokumbuka inaitwa kama “lasne” kama sijakosea box lake kwa nje kunapicha ya mbuu kama vile la SP