AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
wadau naomba mnisaidie eti embe ng'ong'o kwa kiingereza linaitwaje?
Wakuu Jibu Nimelipata linaitwa Ambarella
Wakuu Jibu Nimelipata linaitwa Ambarella
Embe ng'ong'o ndi embe sindano?wadau naomba mnisaidie eti embe ng'ong'o kwa kiingereza linaitwaje?
hilo hapoWeka picha kwanza
hapana mkuu ,picha hii hapoEmbe ng'ong'o ndi embe sindano?
duh,mdau kweli wewe ni muzungukama ng'0mbe anaitwa cow , basi kwa kingereza NG'O ni CO na Mbe ni W , so linaitwa. MANGO COCO
kuna kitu hakipo ulaya mkuu?Hayapo Ulaya
anhaa..mi nadhani ni MANGO tuhilo hapo
Jamanii hahahahaMango ng'ong'oring
ndio kwa kiingereza chake siyo?mbona ukigoogle hivyo inakuja yale ya kawaida?anhaa..mi nadhani ni MANGO tu
Safi kabisa nchi inahitaji msomi kama wewe you deserve it!!kama ng'0mbe anaitwa cow , basi kwa kingereza NG'O ni CO na Mbe ni W , so linaitwa. MANGO COCO
mimi nimejumuisha maana ya moja kwa moja...hiyo ng'ong,o sijajua kwa kiinglishindio kwa kiingereza chake siyo?mbona ukigoogle hivyo inakuja yale ya kawaida?