Msaada wa hii course inaendana na maendeleo ya jamii?Bachelor of Arts in Community and Development Studies

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,581
4,631
Habari wapendwa nimemaliza diploma ya maendeleo ya jamii (Diploma in community development)

Sasa nataka nisome degree ya maendeleo ya jamii kwa hapa dar sidhani kama kuna chuo kinachotoa bachelor degree in community development

Ndo nikakutana na hii course hapo chuo cha ardhi

"Bachelor of Arts in Community and Development Studies"

Jee hii course inaendana na ya maendeleo ya jamii kwa mliosoma?

Vipi ajira ndo hizo hizo za maendeleo ya jamii?

Nauliza hivyo maana naweza kusoma hii course nikamaliza zikatokea nafasi za kazi za diploma nikaomba na ile diploma yangu ya maendeleo ya jamii...sasa ikaja suala la kupanda madaraja kazini sasa nikapeleka hiyo degree yangu ya "Bachelor of Arts in Community and Development Studies" jee itakua sawa?

Nauliza hivi maana nia yangu nataka nisome course inayoendana na hiyo yangu ya diploma ya maendeleo ya jamii...

Au jee kuna course nyingine zinazofanana na za maendeleo ya jamii?kwa hapa dar ni chuo gani?

Maswali yangu ni mengi wakuu...
 
Habari wapendwa nimemaliza diploma ya maendeleo ya jamii (Diploma in community development)

Sasa nataka nisome degree ya maendeleo ya jamii kwa hapa dar sidhani kama kuna chuo kinachotoa bachelor degree in community development

Ndo nikakutana na hii course hapo chuo cha ardhi

"Bachelor of Arts in Community and Development Studies"

Jee hii course inaendana na ya maendeleo ya jamii kwa mliosoma?

Vipi ajira ndo hizo hizo za maendeleo ya jamii?

Nauliza hivyo maana naweza kusoma hii course nikamaliza zikatokea nafasi za kazi za diploma nikaomba na ile diploma yangu ya maendeleo ya jamii...sasa ikaja suala la kupanda madaraja kazini sasa nikapeleka hiyo degree yangu ya "Bachelor of Arts in Community and Development Studies" jee itakua sawa?

Nauliza hivi maana nia yangu nataka nisome course inayoendana na hiyo yangu ya diploma ya maendeleo ya jamii...

Au jee kuna course nyingine zinazofanana na za maendeleo ya jamii?kwa hapa dar ni chuo gani?

Maswali yangu ni mengi wakuu...
Kwani hiyo kozi uliyosomea Diploma ndio una uhakika itakupa kazi?
Ingekuwa Mimi ndio wewe ningesoma kitu tofauti kidogo hata social science ili niwe na wigo mpana wa kuomba kazi kuliko kustack kwenye kitu kimoja halaf kazi zenyewe hadi serikali watangaze nafasi za katibu kata/tarafa ni kujichelewesha tu.
 
Habari wapendwa nimemaliza diploma ya maendeleo ya jamii (Diploma in community development)

Sasa nataka nisome degree ya maendeleo ya jamii kwa hapa dar sidhani kama kuna chuo kinachotoa bachelor degree in community development

Ndo nikakutana na hii course hapo chuo cha ardhi

"Bachelor of Arts in Community and Development Studies"

Jee hii course inaendana na ya maendeleo ya jamii kwa mliosoma?

Vipi ajira ndo hizo hizo za maendeleo ya jamii?

Nauliza hivyo maana naweza kusoma hii course nikamaliza zikatokea nafasi za kazi za diploma nikaomba na ile diploma yangu ya maendeleo ya jamii...sasa ikaja suala la kupanda madaraja kazini sasa nikapeleka hiyo degree yangu ya "Bachelor of Arts in Community and Development Studies" jee itakua sawa?

Nauliza hivi maana nia yangu nataka nisome course inayoendana na hiyo yangu ya diploma ya maendeleo ya jamii...

Au jee kuna course nyingine zinazofanana na za maendeleo ya jamii?kwa hapa dar ni chuo gani?

Maswali yangu ni mengi wakuu...
MASWALI KAMA YANGU WEWE MTU NADHANI ULISOMA CDTI KAMA MIMI
 
Back
Top Bottom