Msaada wa hii alama kwenye gari yangu

Iruru

JF-Expert Member
Jan 27, 2014
1,470
2,864
Wandugu nna hili tatizo kwenye gari yangu, tangia naigize toka Japan ilikuja ikiwa na hiyo alama. Sasa sijui ni nn na mara zote nimeivumilia ila leo nikaona niwaulizeni wajuvi wa mambo isije ikawa naendelea kulea tatizo ambalo linatibika. Tafadhal msaada wenu.
Screenshot_20190927-171153.jpeg
 
Hio ni alama ya kama umewasha taa za gari full nadhani tatzo litakuwa ni sensor imemis-behave. Ngoja wenye fani za hayo mambo waje
Asante japo hii ipo kwenye mshale mafuta na sio kwenye odo-meter ya mshale wa speed. Huku inakotakiwa kuonekana taa full or deem iko sawa. Ukiangalia hii alama ni tofauti na ya taa zikiwa full, hii ina arrows mbili ya juu na nyingine ikielekea chini
 
Kama mr. Mtui alivyosema hiyo ni alama ya fog lights, zile taa mbili za mbele chini kwenye bamper.
Angalia kama zinawaka ukiwasha taa, ukiweza kuzifanya zizime hiyo alama inatakiwa pia itoke
Mkuu hizi zinawaka na kuzima. Wacha nichukue ushauri wa kumleta fundi umeme kama nilivyoshauriwa hapa. Asanteni sana
 
Hapo kwenye hiyo picha hiyo ya juu ni full, chini yake ni fog, chini yake ni alama ya taa za kawaida kuwaka
Sasa mkuu kama ni hivyo, hiyo alama ya fog ya pili kama ulivyosema inatofautiana na ile iliyonifanya kuanziasha uzi hapa. Ebu zirudie picha zote mbili uangalia kama unaweza kuona hapo kitu cha tofauti mkuu
 
Sasa mkuu kama ni hivyo, hiyo alama ya fog ya pili kama ulivyosema inatofautiana na ile iliyonifanya kuanziasha uzi hapa. Ebu zirudie picha zote mbili uangalia kama unaweza kuona hapo kitu cha tofauti mkuu
Hio alama kwny gari yako inaonyesha Headlamp Levelling system warning symbol.

Na ikionekana ujue kuna tatizo kwny mfumo huo.
 
Sasa mkuu kama ni hivyo, hiyo alama ya fog ya pili kama ulivyosema inatofautiana na ile iliyonifanya kuanziasha uzi hapa. Ebu zirudie picha zote mbili uangalia kama unaweza kuona hapo kitu cha tofauti mkuu
Hiyo taa ni tofauti kabisa na full au ile ya taa kuungua. Hiyo taa ipo kwenye HARRIER,ni sensor ya tairi za nyuma kukosa alignment au sensor kuungua lakini ni tair za nyuma. Muanzisha uzi,nenda kwa mafundi Umeme wa magari umwambie akuangalizie hiyo sensor naambiwa iko chini kabisa ya Toyota Harrier ni zile Old Model japo maarufu ni zile old za mwaka 2000,2001 na 2002 ambazo nyingi ni 2AZ-FE cc 2362 na siyo zile za Engine ya 5S, cc 2160!
 
Sasa mkuu kama ni hivyo, hiyo alama ya fog ya pili kama ulivyosema inatofautiana na ile iliyonifanya kuanziasha uzi hapa. Ebu zirudie picha zote mbili uangalia kama unaweza kuona hapo kitu cha tofauti mkuu
Hapo sikuangalia vizuri mkuu hiyo ya orange ni range control.
Angalia namba 36 kwenye picha niliyoweka
 

Attachments

  • dashboard-945x742.jpg
    dashboard-945x742.jpg
    95.7 KB · Views: 24
Hiyo inaitwa "adaptive light dystem".

Huna haja ya kupeleka kwa fundi. Ni nzima hiyo inakuonesha inafanya kazi.

Tumia Google utapata majibu.
 
Hiyo taa ni tofauti kabisa na full au ile ya taa kuungua. Hiyo taa ipo kwenye HARRIER,ni sensor ya tairi za nyuma kukosa alignment au sensor kuungua lakini ni tair za nyuma. Muanzisha uzi,nenda kwa mafundi Umeme wa magari umwambie akuangalizie hiyo sensor naambiwa iko chini kabisa ya Toyota Harrier ni zile Old Model japo maarufu ni zile old za mwaka 2000,2001 na 2002 ambazo nyingi ni 2AZ-FE cc 2362 na siyo zile za Engine ya 5S, cc 2160!
Asante mkuu, ni kweli gari ni harrier, hii inaweza kuwa assumption sahihi. Wacha niifanyie kazi
 
Back
Top Bottom