MpiganajiWetu
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 107
- 20
Dokt, kwanza heri ya mwaka mpya. Kuna jamaa yangu wa karibu sana ana mke wake zaidi ya miaka 4 sasa, mwezi ulopita walienda clinic wakaambiwa kupima HIV matokeo yakaonesha wife ni anao na jamaa hana, kaambiwa arudi baada ya wiki 3 alipoenda kuchek tena majbu yakaonesha kuwa hana. Sasa hapo Dokt msaada wako wa haraka wahtajika wa nin kifanyike? Wife wake kashaanzishiwa dozi. Tafadhali.