Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Wakuu pole na mikikimikiki ya Hapa kazi tu.
Wakuu nimeapply kazi moja online,ila baada ya ku-submit sijatumiwa email ya kuzibitisha kuwa nimeapply. Me nijuavyo kazi nyingi za kuapply online ukisha-submit lazima utumiwe pia email.
Wakuu hii imekaaje ?
Wakuu nimeapply kazi moja online,ila baada ya ku-submit sijatumiwa email ya kuzibitisha kuwa nimeapply. Me nijuavyo kazi nyingi za kuapply online ukisha-submit lazima utumiwe pia email.
Wakuu hii imekaaje ?