Yapata miezi kama kama miwili imepita Tangu nilipobomolewa mlango wa nyumba ya kupanga mida ya mchana na nikaibiwa vitu kadhaa ikiwepo TV , radio, pesa , vyombo na vitu vingine.
Wakati Tukio linafanyika nilikuwa kazini na wife nae alikuwa safari so nyumbani hapakubaki mtu. Baada ya tukio maisha mapya yakaendelea lakini nikawa napata taarifa kutoka kwa majirani kuwa anaeweza kufanya tukio Hilo hawezi kutoka mbali so ni Kati ya watu wanaonizunguka mmoja wao atakuwa amenifanyia wizi huo.
So moja kwa moja shutuma zikawa zinamuangukia mmoja Kati ya jirani yangu ambae Hana kazi yyte maalum halimi , sio mfanyabiashara , sio dalali wala kazi yoyote selikarini but ni mtu aneongoza kupiga Pampa ( kupendeza ) muda mwingi simu ipo sikioni na kuchart .
So eti amesikia kwa watu kuwa eti namshutumu kuwa yeye ndiye aliebomoa kwangu na kuniibia vitu
So wataalamu wa sheria kwanza hii ni Aina gani ya kesi?
J3 ninapoenda mahakamani nitegemee kupata mashitaka gani?
Je nikakubali kuwa yeye ni mwizi au Nikatae kuwa sikuwahi kusema maneno hayo , maana mtaa mzima wanamshutumu kwa tabia izo za wizi?
Nikienda mahakamani nikatoe hoja gani za kisheria kumaliza hii kesi mapema?
NATANGULIZA SHUKURANI ZA DHATI KWA MSAADA WOWOTE MTAKAONIPATIA WANAJANVI
Wakati Tukio linafanyika nilikuwa kazini na wife nae alikuwa safari so nyumbani hapakubaki mtu. Baada ya tukio maisha mapya yakaendelea lakini nikawa napata taarifa kutoka kwa majirani kuwa anaeweza kufanya tukio Hilo hawezi kutoka mbali so ni Kati ya watu wanaonizunguka mmoja wao atakuwa amenifanyia wizi huo.
So moja kwa moja shutuma zikawa zinamuangukia mmoja Kati ya jirani yangu ambae Hana kazi yyte maalum halimi , sio mfanyabiashara , sio dalali wala kazi yoyote selikarini but ni mtu aneongoza kupiga Pampa ( kupendeza ) muda mwingi simu ipo sikioni na kuchart .
So eti amesikia kwa watu kuwa eti namshutumu kuwa yeye ndiye aliebomoa kwangu na kuniibia vitu
So wataalamu wa sheria kwanza hii ni Aina gani ya kesi?
J3 ninapoenda mahakamani nitegemee kupata mashitaka gani?
Je nikakubali kuwa yeye ni mwizi au Nikatae kuwa sikuwahi kusema maneno hayo , maana mtaa mzima wanamshutumu kwa tabia izo za wizi?
Nikienda mahakamani nikatoe hoja gani za kisheria kumaliza hii kesi mapema?
NATANGULIZA SHUKURANI ZA DHATI KWA MSAADA WOWOTE MTAKAONIPATIA WANAJANVI