Mama yangu ana uvimbe usio na maumivu kwenye ziwa lake.hospitali wanasema hormone imbalance. Jamani naogopa sana nisaidieni inaweza kuwa nini? Nipo arusha nataka nianze kumtibia nianze wapi?
me nakushauri kuhangaika hospitalini mana humu sizani kama utapata jibu la uhakika, kama hospitali uliyompeleka hujaridhika na majibu, nenda nyingine na nyingine mpaka ujiridhishe na majibu yao njoo hata huku dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.