Wee Yna2 wewe๐๐๐,๐๐
Kama vipi usipupu..usijichoshe mwaya
Wee Yna2 wewe๐๐๐,๐๐
Kama vipi usipupu..usijichoshe mwaya
Eeh..sasa yanini kujipa mashaka ya roho....Wee Yna2 wewe๐๐๐
Aisee nimecheka sanaa mkuuWe panda tu (Dumba)
Hahahahahah what made u laugh?Aisee nimecheka sanaa mkuu
Ukaona na kwenye mabano uweke ila mtoa mada aeleweHahahahahah what made u laugh?
Ukibanwa kisawasawa akili itakuja tu ya namna ya kukitumia, angalizo tu usichafue hali ya hewa ya eneo husika.Wakuu kwema?
Nina Jambo langu hapa! Nimekuwa nikitembelea maeneo tofauti ya ndani na nje ya nchi. Sasa kwenye suala la choo nimekuwa nikitumia vyenye sink la kuchuchumaa but enzi hizo huko bush ilikuwa Ni vile vya kulenga au unaingia zako pori.
Tangu jana usiku nipo hapa Geita na hotel niliyofikia wanachoo cha kukaa nasijawahi kutumia ingawa nimekuwa naviona. Naomba mwenyewe uelewa atoe muongozo!
Nimekuelewa mkuu, asante kwa kutujulisha kuwa vyoo vya kukaa sasa vimetua Geita.Wakuu kwema?
Nina Jambo langu hapa! Nimekuwa nikitembelea maeneo tofauti ya ndani na nje ya nchi. Sasa kwenye suala la choo nimekuwa nikitumia vyenye sink la kuchuchumaa but enzi hizo huko bush ilikuwa Ni vile vya kulenga au unaingia zako pori.
Tangu jana usiku nipo hapa Geita na hotel niliyofikia wanachoo cha kukaa nasijawahi kutumia ingawa nimekuwa naviona. Naomba mwenyewe uelewa atoe muongozo!
Umekua ukitembelea maeneo tofauti ya ndan na "nje ya nchi" na still hujawahi kutumia choo cha kukaa?
Ni wapi huko "nje ya nchi", ama unaishiaga Congo Bukavu na Kibera Kenya!
Eeh aelewe vyema maana kitendo cha kupanda choo cha kukaa ni โkudumbaโUkaona na kwenye mabano uweke ila mtoa mada aelewe
Dah haya mkuuEeh aelewe vyema maana kitendo cha kupanda choo cha kukaa ni โkudumbaโ
Tupo wengi kiongozi, yaani mi waniite majina yote yanayomaanisha 'mshamba' hata sijali. Nikikutana navyo basi kuna namna yangu nafanya ili niweze kukitumia bila kukaa pale!Kumbe hi Hali tunapitia wengi ety?
Geita sasa itakuwa mkoa
Kwani Chato ipo Mkoa upi kama siyo Geita?Maendeleo Geita sasa itakuwa mkoa
Kikivunjika ndo ataona balaa lakeweka miguu juu ya sinki hapo chuchumaa zako shusha mzigo
๐๐๐๐๐La unanikumbusha shuleni A level...kulikuwa na kioja .Kuna mtu aliku2a anapanda juu ya choo anamaliza...wenhine tukienda lazima tufute matope ya miguu yake!
Tukaweka Mkakati was.kumjua ...ikawa waliohisiwa akiinhiantu bafuni ....watu wanachunhulia kwa chini ,Kama.Miguu inaonekana๐๐๐๐
Baada tukambaini !
Ila tukaja baini jamaa alikuwa anafanya hivyo kwa sababu za kidini๐คซ๐คซ๐คซ
Hakikisha unevua suruali mkuu ukishaa kaa jisaidie kisha flashi kama kuna sehemu ya kunawa kwa pembeni unaweAhsante mkuu, Sasa wakati nabonyeza hiki kitufe umesema mfuniko huu niufunike au uwe wazi. Maana Kuna mwaka choo Cha kuchuchumaa kilimfedhehesha jamaa mmoja kwa kumloanisha suruali yake yote halafu alikuwa mwenyekiti na kikao kinaendelea
hivi wanaotumia vyoo vya kukalia huwa wanajisafishaje?View attachment 1973675
Hivi ndio mtu anatakiwa kutumia choo cha kukaa.
Vyoo vingi Bongo havina sehemu ya kuweka miguu hivyo haviwezi kukupa sitting posture kama hiyo.
hivi unapojisaidia choo cha kukalia tena cha shea, huwa mnafanyaje yale maji machafu ya tundu la choo yasiwarukie?hivyo vyoo mi vimenishinda kabisa, kwenda kuweka makalio alipotoka kuweka makalio yake mtu mwingine nimeshindwa kabisa......yaani sijui najisikiaje!
Ndo maana mi nimesema siviwezi kabisa!hivi unapojisaidia choo cha kukalia tena cha shea, huwa mnafanyaje yale maji machafu ya tundu la choo yasiwarukie?