Milton Mponda
Member
- Apr 5, 2011
- 7
- 0
Mambo vipi wanajamii,
Mi mwenzenu nasumbuliwa na malaria mara kwa mara na haya madawa ya hospital hayanisaidii,kifupi huwa siponi kiasi kwamba najua itakuwa ndo hiyo malaria sugu.sasa kama mtanisaidia kupata dawa ya mitishamba itakuwa mmenipa msaada mkibwa sana.
Please help!
Mi mwenzenu nasumbuliwa na malaria mara kwa mara na haya madawa ya hospital hayanisaidii,kifupi huwa siponi kiasi kwamba najua itakuwa ndo hiyo malaria sugu.sasa kama mtanisaidia kupata dawa ya mitishamba itakuwa mmenipa msaada mkibwa sana.
Please help!