Ni kwa Mara ya kwanza naomba msaada humu jf,
Nina shida na Tsh. 200,000.
Maana Niko pabaya, kwa ambaye yupo tayari kunisaidia Tafadhali, anisaidie, nitamrudishia.
Msaada jamani watanzania wenzangu,
Hili tatizo linaniumiza kuisha kwake ni mpka nipate hiyo fedha,
Ubarikiwe
Ahsanteni
wakuu nimepata watu wakunisaidia kwa hili suala,
Tafadhali usitume kiasi chako cha pesa,
Ahsanteni sana kwa ushauri
Mungu awabariki
Nina shida na Tsh. 200,000.
Maana Niko pabaya, kwa ambaye yupo tayari kunisaidia Tafadhali, anisaidie, nitamrudishia.
Msaada jamani watanzania wenzangu,
Hili tatizo linaniumiza kuisha kwake ni mpka nipate hiyo fedha,
Ubarikiwe
Ahsanteni
wakuu nimepata watu wakunisaidia kwa hili suala,
Tafadhali usitume kiasi chako cha pesa,
Ahsanteni sana kwa ushauri
Mungu awabariki