Heshima kwenu wadau,
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 31 ninasumbuliwa na tatizo hili;-
Wiki mbili zilizopita kuna siku nilitembelewa na girlfriend wangu ambaye tunaishi mikoa tofauti.
Alikaa siku mbili kisha akarudi anakofanyia kazi,
Sasa baada ya siku 2 nlianza kuona dalili ya kutokwa na vitu kama maziwa njano kwenye tundu la uume.
Nilimpigia simu girlfriend wangu na kumweleza kuhusu tatizo hilo na akasema yeye yuko safi na hana ugonjwa wowote wala hana dalili zozote za zinaa
Niliamua kuomba ushauri kwa jamaa mmoja anayeuza duka la dawa akanambia nina dalili za gono.
Akanichoma sindano moja ya powerseif pia akanipa vidonge vinavyoitwa Azuma vya kutumia siku nne.
Baada ya kumaliza dawa hizo nilipata nafuu kidogo ila baada ya siku mbili tatizo likarudi!
Ndipo nikaamua kwenda maabala kupima damu na mkojo.
Lakini majibu yalionyesha sina magonjwa ya zinaa ila nina UTI
nikashauriwa kutumia vidonge vya Azuma vya siku 6 lakini mpaka leo ni siku ya nne natumia dawa sioni mabadiriko.
Bado natokwa na hivyo vimaji vya rangi ya njano japo huwa hakuna harufu yoyote.
Najua humu kuna watu mbalimbali wenye uelewa kuhusu tatizo hili naombeni msaada wa ushauri ili nijue dawa gani itanisaidia.!
Natanguliza shukrani.
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 31 ninasumbuliwa na tatizo hili;-
Wiki mbili zilizopita kuna siku nilitembelewa na girlfriend wangu ambaye tunaishi mikoa tofauti.
Alikaa siku mbili kisha akarudi anakofanyia kazi,
Sasa baada ya siku 2 nlianza kuona dalili ya kutokwa na vitu kama maziwa njano kwenye tundu la uume.
Nilimpigia simu girlfriend wangu na kumweleza kuhusu tatizo hilo na akasema yeye yuko safi na hana ugonjwa wowote wala hana dalili zozote za zinaa
Niliamua kuomba ushauri kwa jamaa mmoja anayeuza duka la dawa akanambia nina dalili za gono.
Akanichoma sindano moja ya powerseif pia akanipa vidonge vinavyoitwa Azuma vya kutumia siku nne.
Baada ya kumaliza dawa hizo nilipata nafuu kidogo ila baada ya siku mbili tatizo likarudi!
Ndipo nikaamua kwenda maabala kupima damu na mkojo.
Lakini majibu yalionyesha sina magonjwa ya zinaa ila nina UTI
nikashauriwa kutumia vidonge vya Azuma vya siku 6 lakini mpaka leo ni siku ya nne natumia dawa sioni mabadiriko.
Bado natokwa na hivyo vimaji vya rangi ya njano japo huwa hakuna harufu yoyote.
Najua humu kuna watu mbalimbali wenye uelewa kuhusu tatizo hili naombeni msaada wa ushauri ili nijue dawa gani itanisaidia.!
Natanguliza shukrani.