Msaada wa haraka unahitajika

Deepro

Member
Nov 3, 2016
63
54
Heshima kwenu wadau,
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 31 ninasumbuliwa na tatizo hili;-
Wiki mbili zilizopita kuna siku nilitembelewa na girlfriend wangu ambaye tunaishi mikoa tofauti.

Alikaa siku mbili kisha akarudi anakofanyia kazi,
Sasa baada ya siku 2 nlianza kuona dalili ya kutokwa na vitu kama maziwa njano kwenye tundu la uume.

Nilimpigia simu girlfriend wangu na kumweleza kuhusu tatizo hilo na akasema yeye yuko safi na hana ugonjwa wowote wala hana dalili zozote za zinaa
Niliamua kuomba ushauri kwa jamaa mmoja anayeuza duka la dawa akanambia nina dalili za gono.

Akanichoma sindano moja ya powerseif pia akanipa vidonge vinavyoitwa Azuma vya kutumia siku nne.

Baada ya kumaliza dawa hizo nilipata nafuu kidogo ila baada ya siku mbili tatizo likarudi!
Ndipo nikaamua kwenda maabala kupima damu na mkojo.

Lakini majibu yalionyesha sina magonjwa ya zinaa ila nina UTI
nikashauriwa kutumia vidonge vya Azuma vya siku 6 lakini mpaka leo ni siku ya nne natumia dawa sioni mabadiriko.

Bado natokwa na hivyo vimaji vya rangi ya njano japo huwa hakuna harufu yoyote.
Najua humu kuna watu mbalimbali wenye uelewa kuhusu tatizo hili naombeni msaada wa ushauri ili nijue dawa gani itanisaidia.!
Natanguliza shukrani.
 
heshima kwenu wadau,
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 31 ninasumbuliwa na tatizo hili;-
Wiki mbili zilizopita kuna siku nilitembelewa na girlfriend wangu ambaye tunaishi mikoa tofauti.
Alikaa siku mbili kisha akarudi anakofanyia kazi,
Sasa baada ya siku 2 nlianza kuona dalili ya kutokwa na vitu kama maziwa njano kwenye tundu la uume,
Nilimpigia simu girlfriend wangu na kumweleza kuhusu tatizo hilo na akasema yeye yuko safi na hana ugonjwa wowote wala hana dalili zozote za zinaa
Niliamua kuomba ushauri kwa jamaa mmoja anayeuza duka la dawa akanambia nna dalili za gono!
Akanichoma sindano moja ya powerseif pia akanipa vidonge vinavyoitwa Azuma vya kutumia siku nne.
Baada ya kumaliza dawa hizo nlipata nafuu kidogo ila baada ya siku mbili tatizo likarudi!
Ndipo nikaamua kwenda maabala kupima damu na mkojo,
Lakini majibu yalionyesha sina magonjwa ya zinaa ila nina UTI
nikashauriwa kutumia vidonge vya Azuma vya siku 6 lakini mpaka leo ni siku ya nne natumia dawa sioni mabadiriko.!
Bado natokwa na hivyo vimaji vya rangi ya njano japo huwa hakuna harufu yoyote.
Najua humu kuna watu mbalimbali wenye uelewa kuhusu tatizo hili naombeni msaada wa ushauri ili nijue dawa gani itanisaidia.!
Natanguliza shukrani.

Pole sana mkuu.

Fanya kitu kimoja nenda hospital fanya kipimo cha culture n sensitivity ya mkojo

Chonde chonde usiende dispensary na kwa uhakika zaid hiki kipimo kakifanye

1.muhimbili

2.lancert laboratories(regency hospital)

Hizi ndo sehemu nzuri za kufanya kipumo hicho naamin itakuwa gono
 
Urethral Discharge Syndrome (UDS) tumia Ciprofloxacin 500mg twice daily for 7days pamoja na Doxycycline 100mg twice daily for 2 weeks pamoja na Secnidazole 2gm mara moja. Kama hujapona kafanye culture and sensitivity. Ni Muhimu girfriendwako pia atumie hiyo dozi.
 
Urethral Discharge Syndrome (UDS) tumia Ciprofloxacin 500mg twice daily for 7days pamoja na Doxycycline 100mg twice daily for 2 weeks pamoja na Secnidazole 2gm mara moja. Kama hujapona kafanye culture and sensitivity. Ni Muhimu girfriendwako pia atumie hiyo dozi.

How do you use cipro na doxycycline at the same time wkt zote antibiotics, mbona unataka mtu awahi namba
One dose is enough
 
No its not enough, hiyo inaitwa syndromic management of Sexually Tramsmitted Infections kinachfanyika hapo ni kucover all organisms ambao wanaweza sababisha hiyo hali. Combinimg antibiotics ni practice ya kawaida sana kwenye medicine. Hakuna shida yoyote. Do dome reading on Syndromic managemtnt of STI's.
 
Na huo ugonjwa ni gonorhoe sugu usipoangalia litalisumbua fua chupi zako kwa majimoto na dettol
Sio tu gonorrhoea, yaweza kuwa chlamydia, trichomoniasis na hata candidiasis ndio maana ni muhimu kutumia combination drugs to tackle all causative organisms
 
mpee kipondo cha mbwa mwizi huyo 'gelo frendi' wako adi wenge la unzinzi litulie
 
Pole sana mkuu.

Fanya kitu kimoja nenda hospital fanya kipimo cha culture n sensitivity ya mkojo

Chonde chonde usiende dispensary na kwa uhakika zaid hiki kipimo kakifanye

1.muhimbili

2.lancert laboratories(regency hospital)

Hizi ndo sehemu nzuri za kufanya kipumo hicho naamin itakuwa gono
Nashukuru sana mkuu.
 
Urethral Discharge Syndrome (UDS) tumia Ciprofloxacin 500mg twice daily for 7days pamoja na Doxycycline 100mg twice daily for 2 weeks pamoja na Secnidazole 2gm mara moja. Kama hujapona kafanye culture and sensitivity. Ni Muhimu girfriendwako pia atumie hiyo dozi.
Ubarikiwe sana..!
 
Urethral Discharge Syndrome (UDS) tumia Ciprofloxacin 500mg twice daily for 7days pamoja na Doxycycline 100mg twice daily for 2 weeks pamoja na Secnidazole 2gm mara moja. Kama hujapona kafanye culture and sensitivity. Ni Muhimu girfriendwako pia atumie hiyo dozi.
Nimekupm kitu kacheck!
 
Urethral Discharge Syndrome (UDS) tumia Ciprofloxacin 500mg twice daily for 7days pamoja na Doxycycline 100mg twice daily for 2 weeks pamoja na Secnidazole 2gm mara moja. Kama hujapona kafanye culture and sensitivity. Ni Muhimu girfriendwako pia atumie hiyo dozi.
Umemsaidia sana
 
Hiyo ni UTI tu hakuna ugonjwa mwingine. Huu ugonjwa huwa unastages zake huanza kwa kukupa dawa zikikataa wanakuchoma sindano na zenyewe ikikataa kupona kuna stage inafata ila nimesahau hapo n ipi. Nakushaur urud kwa daktar wako wa kwanza ili aweze kukutibu vema
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom