MSAADA WA HARAKA UNAHITAJIKA KABLA SIJAMTAFUTA FUNDI

mwanaNjilo

JF-Expert Member
Aug 30, 2018
277
195
Habar zenu wanaJF..
Hii ni post ya kwanza kwnye jamvi hili, natumaini ntapata ushirikiano wa kutosha (In shah Allah)

Nimepata changamoto kwnye PC yngu. Natumia dell lattitude 64000. Mara ya mwsho kupandisha windows ilikua ni miez minne ilopita. Kila litu kilikua sawa. Lakn juzi nilitaka kununua charger ya io pc yng, nikaijaribisha taa inayoindicate kua chrge inaingia iliwaka, so nikajiridhsha kua charger ni nzma. Nikainunua. Sasa tangu jana asubuh mpk muda huu naandika hii thread humu, nimegundua changamoto ya ile charger nloinunua. Haicharge pc. Lkn inaonesha kwmba inaingia ila hai-recharge (nadhani nimeeleweka).

Tatizo lililoniskuma kuwashirikisha wanajukwaa ni hili: Nikijaribu kuiwasha PC haiwak, inaishia kwenye ku-reboot, then inawaka na kuzima kwa haraka haraka (kama sim iloingia maji...) na Power-button nayo inafany namna hyohyo (kutoa mwanga na kufifia...mpk ui-hold kuizima pc). Kwa kifup, changamoto iliopo ni pc kutokuwaka!

Naomna mniwie radhi, maana nahisi nimetoa maelezo yasiojitosheleza. Lakn nnamatumaini ntapata msaada kutoka kwa watakaonilewa kwny hk nlichokiandika hapa. Nataka kujua tatizo ni nini kabla cjaipeleaka kwa fundi!
Ahsanten in-advance
 
Kitu cha msingi ni kuhakikisha kama power adopter yako ipo sawa. Na ni vigumu kama huna Multimeter. Inatakiwa isome 19.5V with +/- 2V. Pia kuna vitu naona havijakaa sawa au ni maelezo yako. Jaribu kutoa Battery na Charger. Kisha Bonyeza power button kwa 10 Sec huku pc ikiwa haina Charger wala battery ili ku clear Some stored memory. Then Rudisha charger bila battery na uwashe mashine.

Make sure ujue kama adopter yako ipo OK au Laa ili tuendelee ku troubleshoot Tatizo
 
Habar zenu wanaJF..
Hii ni post ya kwanza kwnye jamvi hili, natumaini ntapata ushirikiano wa kutosha (In shah Allah)

Nimepata changamoto kwnye PC yngu. Natumia dell lattitude 64000. Mara ya mwsho kupandisha windows ilikua ni miez minne ilopita. Kila litu kilikua sawa. Lakn juzi nilitaka kununua charger ya io pc yng, nikaijaribisha taa inayoindicate kua chrge inaingia iliwaka, so nikajiridhsha kua charger ni nzma. Nikainunua. Sasa tangu jana asubuh mpk muda huu naandika hii thread humu, nimegundua changamoto ya ile charger nloinunua. Haicharge pc. Lkn inaonesha kwmba inaingia ila hai-recharge (nadhani nimeeleweka).

Tatizo lililoniskuma kuwashirikisha wanajukwaa ni hili: Nikijaribu kuiwasha PC haiwak, inaishia kwenye ku-reboot, then inawaka na kuzima kwa haraka haraka (kama sim iloingia maji...) na Power-button nayo inafany namna hyohyo (kutoa mwanga na kufifia...mpk ui-hold kuizima pc). Kwa kifup, changamoto iliopo ni pc kutokuwaka!

Naomna mniwie radhi, maana nahisi nimetoa maelezo yasiojitosheleza. Lakn nnamatumaini ntapata msaada kutoka kwa watakaonilewa kwny hk nlichokiandika hapa. Nataka kujua tatizo ni nini kabla cjaipeleaka kwa fundi!
Ahsanten in-advance
Tatitzo umenunua charger ambayo ina watt ndogo kuliko inayohitajika kucharge betri la PC yako mara nyingi hizi charger fake ndivyo zilivyo hata mimi ninalo lichaja nla namna hilo nilinunua kariakoo 25000, ila nikitumia charger original betri linajaa kama kawaida. Tofauti ya chaja yako na yangu inawasha pc lakini betri halichaji na mwanga unakuwa siyo mkali yani sawa ninatumia power saver mode vile
 
Guys kuna watu tulilipa ada tukasomea computer ila siku hizi kila.mti fundi ujue. So mkuu nakushauri peleka kwa fundi kabla hujaiharibu zaidi. Actually ulitakiwa kumconsult fundi kabla hujanunua hio adapter
 
Guys kuna watu tulilipa ada tukasomea computer ila siku hizi kila.mti fundi ujue. So mkuu nakushauri peleka kwa fundi kabla hujaiharibu zaidi. Actually ulitakiwa kumconsult fundi kabla hujanunua hio adapter
Acha ujinga mkuu matatizo mengine yaweza kuwa ni madogo madogo mpaka hapo anajaribu kupewa solution bila kufungua wala kuidhuru zaidi hata akienda kwa fundi awe anajua ABC .nyie ndio wale tatizi kidogo unataka shida zako zote ziishie hapo.


Hii ndio kazi ya hili jukwaa vinginevyo lisingeanzishwa.
 
Acha ujinga mkuu matatizo mengine yaweza kuwa ni madogo madogo mpaka hapo anajaribu kupewa solution bila kufungua wala kuidhuru zaidi hata akienda kwa fundi awe anajua ABC .nyie ndio wale tatizi kidogo unataka shida zako zote ziishie hapo.


Hii ndio kazi ya hili jukwaa vinginevyo lisingeanzishwa.
Ahsante kwa hii reply yko bro. A million dollar reply!
 
Tatitzo umenunua charger ambayo ina watt ndogo kuliko inayohitajika kucharge betri la PC yako mara nyingi hizi charger fake ndivyo zilivyo hata mimi ninalo lichaja nla namna hilo nilinunua kariakoo 25000, ila nikitumia charger original betri linajaa kama kawaida. Tofauti ya chaja yako na yangu inawasha pc lakini betri halichaji na mwanga unakuwa siyo mkali yani sawa ninatumia power saver mode vile
Yap! Ni kwel ndugu! Computer literacy yngu cyo kubwa sana. So baadhi ya miiko nashindwa kuizingatia. Pamoja na hayo, nakushkuru sana
 
Kitu cha msingi ni kuhakikisha kama power adopter yako ipo sawa. Na ni vigumu kama huna Multimeter. Inatakiwa isome 19.5V with +/- 2V. Pia kuna vitu naona havijakaa sawa au ni maelezo yako. Jaribu kutoa Battery na Charger. Kisha Bonyeza power button kwa 10 Sec huku pc ikiwa haina Charger wala battery ili ku clear Some stored memory. Then Rudisha charger bila battery na uwashe mashine.

Make sure ujue kama adopter yako ipo OK au Laa ili tuendelee ku troubleshoot Tatizo
Ajsante mkuu! Hii ni technical help. Nimepata tumaini la msaada. Ntajaribu then ntaleta mrejesho!

Adapter ina output voltage ya 19. Afu mda huu ndo nimegundua kua hii AC adapter ni suitable kwajil ya SAMSUNG pc. Hili nalo ni tatzo mkuu, kwasababu Pc yngu ni Dell!
 
Hazchem plate. Bado situation ipo vilevile km inavyoonekana kwenye izo clips mbil hapa. Afu sometimes wananipa hyo notification. I call for more help kutoka kwenu wadauView attachment VID-20180918-WA0001.mp4View attachment VID-20180918-WA0002.mp4
IMG-20180918-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom