Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 609
- 1,006
- Thread starter
- #21
ahahahahahahahaha umetishaNawaza lakini sijui huyo paka watambeba kwenda mahakamani manake na yeye si lazima aonekane pale mahakamani kwa muheshimiwa hakimu kuwa ndiyo source ya mtofuano 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 paka huna hata diploma umetrend kutuacha ss wenye phd 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kinyo we! waiter lete balimi tatu special kwa Paka kajua kutingisha watu mtaani hahahahahahahha ze cat 🤣🤣🤣🤣 kawasha moto