Msaada wa haraka tafadhali, NACTE nimelipa sioni kozi tofauti na za afya

Julius Husseni

JF-Expert Member
Sep 9, 2016
1,364
1,078
Nimelipia ada ya kuomba vyuo vya kati kutoka NACTE lakini maajabu ni kua sioni option ya chuo kinachotoa IT. Tafadhali mwenye access ya vyuo anisaidie niende moja kwa moja naona pesa yangu imeliwa, sijasoma sayansi.
 
Nimelipia ada ya kuomba vyuo vya Kati kutoka nacte lakini maajabu ni kua sioni option ya chuo kinachotoa It tafadhali mwenye access ya vyuo anisaidie niende moja kwa moja naona pesa yangu imeliwa sijasoma sayansi
MbonakiNACTE hawajawela applications zaidi ya vyuo vya afya Kuna nini?
 
Nadhani labda hujaelewa tu mkuu ila vyuo vya Afya na Ualimu tu ndio unatakiwa kuapply kupitia nacte hizo kozi nyingine unaaply moja kwa moja kwenye chuo husika.
 
Nimelipia ada ya kuomba vyuo vya kati kutoka NACTE lakini maajabu ni kua sioni option ya chuo kinachotoa IT. Tafadhali mwenye access ya vyuo anisaidie niende moja kwa moja naona pesa yangu imeliwa, sijasoma sayansi.
Toa details zakoo tuonèee

Unaombaa nn
 
Ndo shida ya kukurupuka hii Mr.. Utalipiaje wakati hata protocol huzijui na hujafuata..!!! Nacte kwa sasa wanadili na kozi za Afya na ualimu pekee tena ni vyuo vya serikali tu tena nafasi zenyewe zinakuwa chache maana nafasi nyingi zishachukuliwa na wanafunzi fresh kutoka mashuleni wanaochaguliwa na Tamisemi mojakwamoja..
 
Ndo shida ya kukurupuka hii Mr.. Utalipiaje wakati hata protocol huzijui na hujafuata..!!! Nacte kwa sasa wanadili na kozi za Afya na ualimu pekee tena ni vyuo vya serikali tu tena nafasi zenyewe zinakuwa chache maana nafasi nyingi zishachukuliwa na wanafunzi fresh kutoka mashuleni wanaochaguliwa na Tamisemi mojakwamoja..
Mkuu nisaidie chuo lengo nisome It nina iv ya 26 f ya mathe tu chuo gani kinatoa IT
 
Mkuu nisaidie chuo lengo nisome It nina iv ya 26 f ya mathe tu chuo gani kinatoa IT
... Arusha Institute of Accounting
... National Institute of Transport
... Makumira University
... Mvumi College of Health and allied Science
...Jr Institute of Information and Technology
.... University of Dsm computing Centre
 
Nashukuru mkuu nilisoma masomo 7 tu lakini
... Arusha Institute of Accounting
... National Institute of Transport
... Makumira University
... Mvumi College of Health and allied Science
...Jr Institute of Information and Technology
.... University of Dsm computing Centre
 
Nimelipia ada ya kuomba vyuo vya kati kutoka NACTE lakini maajabu ni kua sioni option ya chuo kinachotoa IT. Tafadhali mwenye access ya vyuo anisaidie niende moja kwa moja naona pesa yangu imeliwa, sijasoma sayansi.
bado usaili wa vyuo vingine ujafunguliwa ndo maana unaona usaili wa vyuo vya afya tu so subili hadi mwezi wa nane mwishoni ndo usaili utafunguliwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom