Renatus Edward
Member
- Aug 2, 2011
- 50
- 55
Habari wadau!
Ninatatizo kubwa sana katika hizi harakati za kujikwamua kiuchumi, mimi ni mfugaji wa kuku wa kisasa wa mayai (Layers) tangu waanze kutaga huu ni mwezi wa 4 sasa, lakini utagaji wake umekuwa wa kusuasua sana toka waanze kutaga.
Cha ajabu zaidi sasa hivi wanataga tray 5 tu kwa siku kati ya kuku 1020. Nilikuwa nanunua chakula kampuni moja inaitwa Multivate farm Ltd ambayo ndo inaleta huku kusini vyakula vya kuku lakini utagaji wa kuku wangu ukawa bado mdogo. Nikaamua kutengeneza mwenyewe chakula lakini mambo bado ni yaleyale tu hakuna madadiliko yoyote niliyoyapata, naombeni msaada nifanyeje ili kuku wangu warudi kwenye hali yake ya utagaji na waweze kutaga vizuri.
Nawasilisha kwa msaada zaidi
Asanteni
Ninatatizo kubwa sana katika hizi harakati za kujikwamua kiuchumi, mimi ni mfugaji wa kuku wa kisasa wa mayai (Layers) tangu waanze kutaga huu ni mwezi wa 4 sasa, lakini utagaji wake umekuwa wa kusuasua sana toka waanze kutaga.
Cha ajabu zaidi sasa hivi wanataga tray 5 tu kwa siku kati ya kuku 1020. Nilikuwa nanunua chakula kampuni moja inaitwa Multivate farm Ltd ambayo ndo inaleta huku kusini vyakula vya kuku lakini utagaji wa kuku wangu ukawa bado mdogo. Nikaamua kutengeneza mwenyewe chakula lakini mambo bado ni yaleyale tu hakuna madadiliko yoyote niliyoyapata, naombeni msaada nifanyeje ili kuku wangu warudi kwenye hali yake ya utagaji na waweze kutaga vizuri.
Nawasilisha kwa msaada zaidi
Asanteni