Napata kikohozi na mafua nikinywa pombe, tatizo nini?

Wakati Wazungu wakiwa 'busy' Kubuni Ndege, kwenda Mwezini, Kujikita katika Maendeleo na Sayansi 'Miswahili' inajisifia 'Pombe' Mtandaoni hapa.
 
Ukiona hivyo ujue Mungu anakupenda anataka uachane na bia, badala yake uanze kununua matofali ujenge
 
Tubonyeze *150*02# ili kujua kadi zetu za kupiga kura Kama zko tyari kunyonga mtu

Ndugu zangu naomba msaada wkend iliyopita nilipiga pombe Sana ratiba yangu ya kunywa bia Ni Kuanzia ijumaa mpka juma pili ...ila nimepata tatizo moja wkend iliyopita nilipiga Sana vyombo asubuhi nika amka Nina kikohozi na mafua nikanywa dawa za kikohozi siku mbili kila kitu kikatulia....nilijua ni mafua ya kawaida ..ila leo Kama kawaida nilitaka niendeleze ratiba yangu nimepiga bia nne kikohozi kikaanza ...je hii Nin?? Ni ugonjwa Ninao ? Je Ni ugonjwa gani huu kuzingua starehe Yangu? Au ni maombi ya Bi mkubwa wangu make amekua akipiga Vita Mimi kula chombo ..
. msaada please

Kama unatumia sigara, punguza au ikibidi acha kabisa


20200927_090154.jpg


Chukua hii tangawizi uichemshe kisha changanya na asali, hapo mambo yatakuwa shwari halafu ulete mrejesho hapa kwa faida ya wenzako.
 
Wakati Wazungu wakiwa 'busy' Kubuni Ndege, kwenda Mwezini, Kujikita katika Maendeleo na Sayansi 'Miswahili' inajisifia 'Pombe' Mtandaoni hapa.
Kwani wazungu hawanywi? Hawafanyi starehe? Unafurahisha sana ndugu!! Kuna watu wanaofanya starehe kama hao wazungu ngozi nyeupe??? Hapa hatujadili technologies
 
Kuna upepo wa vikohozi visivyopona na mafua umepita.. Mimi nina mwezi mzima naumwa kikohozi kisichopona na kichwa. Nimepima Uti, typhoid, choo, malaria na nikafanya full blood picture lakini nikaambiwa sina ugonjwa wowote. Hivyo nikaamua kutumia tiba mbadala na angalau nimepata nafuu sasa
 
Ngwengwe kapime nayo
Kuna upepo wa vikohozi visivyopona na mafua umepita.. Mimi nina mwezi mzima naumwa kikohozi kisichopona na kichwa. Nimepima Uti, typhoid, choo, malaria na nikafanya full blood picture lakini nikaambiwa sina ugonjwa wowote. Hivyo nikaamua kutumia tiba mbadala na angalau nimepata nafuu sasa
 
Tubonyeze *150*02# ili kujua kadi zetu za kupiga kura Kama zko tyari kunyonga mtu...
Pole mlevi mwenzangu, tatizo hapo wala sio wewe, ni hizo bia wanatumia freezer kuzihifadhi ili ziwe baridi, kama hawezi kukuwekea kwenye fridge za kawaida kwa ajili ya vinywaji baridi basi changanya moto na baridi na tatizo lako litakua limeisha au hama Bar.
 
Back
Top Bottom