Msaada wa haraka: Sababu ya kuku kudonoana

Lihove2

JF-Expert Member
Mar 23, 2018
3,156
5,654
Wakuu habari zenu

Nina tatizo la kuku kudonoana sana.hali ni mbaya wanadonoana kiasi napoeza kuku wengi kwa vifo baada ya kudonolewa zenyewe kwa zenyewe

kuku wana umri wa miezi miwili ni kuku wa chotara.

Niliambiwa ni upungufu wa madini ninewapata hayo madini lakini wapi.wengine waliniambia ni chakula kidogo nimewaongezea chakula lakini bado hakuna mabadiliko

Natanguliza shukrani
 
Wakuu habari zenu

Nina tatizo la kuku kudonoana sana.hali ni mbaya wanadonoana kiasi napoeza kuku wengi kwa vifo baada ya kudonolewa zenyewe kwa zenyewe

kuku wana umri wa miezi miwili ni kuku wa chotara.

Niliambiwa ni upungufu wa madini ninewapata hayo madini lakini wapi.wengine waliniambia ni chakula kidogo nimewaongezea chakula lakini bado hakuna mabadiliko

Natanguliza shukrani
Madini mjomba, kuna madini wanakosa hasa chuma.
 
Wape hayo madini halafu mda mwingi baada ya chakula wape vitu vitavyofanya wawe bize kudoa mfano mbogamboga wataaacha mkuu!
Manake ukizubaa wakaendelea itakua ndo tabia na wote Watakuwa vipofu
 
Wape hayo madini halafu mda mwingi baada ya chakula wape vitu vitavyofanya wawe bize kudoa mfano mbogamboga wataaacha mkuu!
Manake ukizubaa wakaendelea itakua ndo tabia na wote Watakuwa vipofu

Asante sana mkuu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom