Wakuu habari zenu
Nina tatizo la kuku kudonoana sana.hali ni mbaya wanadonoana kiasi napoeza kuku wengi kwa vifo baada ya kudonolewa zenyewe kwa zenyewe
kuku wana umri wa miezi miwili ni kuku wa chotara.
Niliambiwa ni upungufu wa madini ninewapata hayo madini lakini wapi.wengine waliniambia ni chakula kidogo nimewaongezea chakula lakini bado hakuna mabadiliko
Natanguliza shukrani
Nina tatizo la kuku kudonoana sana.hali ni mbaya wanadonoana kiasi napoeza kuku wengi kwa vifo baada ya kudonolewa zenyewe kwa zenyewe
kuku wana umri wa miezi miwili ni kuku wa chotara.
Niliambiwa ni upungufu wa madini ninewapata hayo madini lakini wapi.wengine waliniambia ni chakula kidogo nimewaongezea chakula lakini bado hakuna mabadiliko
Natanguliza shukrani