Msaada wa Haraka: Rafiki yangu kagundua Mchumba wake ni Msaliti, kachanganyikiwa hajui la kufanya Mpaka sasa

safi sana....tukisema punguzeni mapenzi kwa kiumbe mwenzako hamtaki kusikia

humu kila siku tunatoa mbinu za kukwepa maumivu ya mapenzi, ikiwa ni pamoja na kujiwekea back-up, lkn mijitu mibishi, acha wakutane na matokeo yao.

sas huyo bwege kingemkuta kama kilichonkuta mimi si lingejiua
Mkuuu just a little beat
 
Habari Wana JF.

Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.

Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.

Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...

Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...
Hakuna mke wa peke yako kama njiwa . Labda awe na sura mbuzi .

Vumilia ni kawaida hasa mnapoishi mbali mbali namna hiyo.
 
Mwanakulifind, mwanakuligeti.

Mwambie aache ujinga, kuchapiwa siri ya ndani.
 
Mwanakulifind, mwanakuligeti.

Mwambie aache ujinga, kuchapiwa siri ya ndani.
Hahahaha Ubaya bidada anajitangaza Kwa Watu asaidiwe Kuombewa msamaha Kwa jamaa,Sasa jamaa kanisimulia ndio Maana nimeamua Kuleta huku wajuvi mseme neno
 
Habari Wana JF.

Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.

Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.

Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...

Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...
Mwambie afute kila kinachomuhusu huyo Mwanamke na Aanze Kuwaza Mabaya ya huyo dem tu asiwaze mazuri yake, Yani Kila akikaa awaze huyu Mwanamke angekuja kunisababishia kuea mtoto si wangu huyu, Yani Awaze Negatively mwanzo Mwisho na Ajipe moyo kwamba Mungu kaniepusha na Balaa, Wanawake mbona wamejaa kibaaao tu

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Habari Wana JF.

Kuna Rafiki yangu nimesoma nae chuo, Sasa alikuwa na Mpenzi wake wa karibu na wamekaa takribani Miaka 4,ila Kwa bahati mbaya yeye huyo jamaa na Mchumba wake Wanaishi Mikoa Tofauti,ila mara kadhaa Binti huenda kumtembelea jamaa yake.Na wanapendana Sana tu.

Sasa Changamoto kubwa ya kilichotokea hivi karibuni na ambacho kimemchanganya Rafiki yangu,ni kwamba alienda safari ya ghafla Mpaka Mkoa ambao huyo Binti anaishi,na Kwa bahati nzuri akashika simu ya huyo bidada na kuona ya kwamba kasalitiwa na huyo Binti na Njemba Nyingine.

Mdada kaomba msamaha Kwa jamaa,lakini jamaa kasema bidada ampe muda Ili aweze kung'amua asije juta Mbeleni,na kiufupi jamaa anampenda huyo bidada,lakini Kila akikaa anasema hawezi rudiana nae.
Sasa Mimi kama rafiki yake nimekuja humu Ili Wana JF muweze Kutoa msaada wa kimawazo na Experience zenu Ili niweze kumshauri huyu jamaa ambaye kawa mnyonge Sana na anasema anawachukia Wanawake wote wa Dunia hii na haamini Tena Mwanamke hata kama akisema anampenda...

Nawasilisha,Ushauri wenu ni muhimu sana...

Kwani ukisema huyo mtu ndo wewe shida iko wapi?

Lakini vitu vingine mbona vipo straight forward kufanya maamuzi.

Yeni yeye kashindwa kuchukua hatua na wewe ukashindwa kumshauri ukaona Ulete huku?
 
Una namba ya simu ya huyo shemeji yako mkuu? Kitu nataka nimuelekeze mara moja ili huyo rafiki yako aweze kumsamehe haraka.
 
Back
Top Bottom