Niwaheri
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,749
- 2,747
Mkuuu just a little beatsafi sana....tukisema punguzeni mapenzi kwa kiumbe mwenzako hamtaki kusikia
humu kila siku tunatoa mbinu za kukwepa maumivu ya mapenzi, ikiwa ni pamoja na kujiwekea back-up, lkn mijitu mibishi, acha wakutane na matokeo yao.
sas huyo bwege kingemkuta kama kilichonkuta mimi si lingejiua