Msaada wa haraka please

Revola

JF-Expert Member
Apr 14, 2015
1,408
1,156
Simu yangu ni infinix note 5 inatumia line mbili, nimepata tatizo la kupoteza kwa network line ya halotel, Nina line mbili zote nikiweka network inakuja baada ya muda zinakata zote su inakuja moja tu, nikiweka Tigo si vida hazisumbui ila halotel inasumbua sana tatizo nini?

NB: nipo Dar mtandao upo full hili tatizo limeanza hata kabla ya internet kusumbua hata matumizi ya kawaida zinakata nimesha reset na kuzima simu Mara kibao sijui tatizo nini wataalamu please msaada
 
Simu yangu ni infinix note 5 inatumia line mbili, nimepata tatizo la kupoteza kwa network line ya halotel, Nina line mbili zote nikiweka network inakuja baada ya muda zinakata zote su inakuja moja tuu, nikiweka Tigo si vida hazisumbui ila halotel inasumbua sana tatizo nini?...
fanya yafuatayo pakua VPN inayoitwa proton kisha jisajili uendelee kula maisha hilo swala ni la kitaifa sio kwako tu karibia nchi nzima limewakumba
 
Simu yangu ni infinix note 5 inatumia line mbili, nimepata tatizo la kupoteza kwa network line ya halotel, Nina line mbili zote nikiweka network inakuja baada ya muda zinakata zote su inakuja moja tuu, nikiweka Tigo si vida hazisumbui ila halotel inasumbua sana tatizo nini?...
mkuu hilo sio tatzo la simu ni laini.. ingelikuwa laini zote zinasumbua sawa. lakini jaribu kuwasiliana na services care na wa-locate sehem ulipo.. tatzo litakuwa limeisha
 
shida sio laini mzee mimi natumia halotel na hakuna network kabisa iko 0 ila ndo naitumia hapa nimeweka vpn tu network inashika
mkuu hilo sio tatzo la simu ni laini.. ingelikuwa laini zote zinasumbua sawa... lakn jaribu kuwasiliana na services care na wa-locate sehem ulipo.. tatzo litakuwa limeisha
 
fanya yafuatayo pakua VPN inayoitwa proton kisha jisajili uendelee kula maisha hilo swala ni la kitaifa sio kwako tu karibia nchi nzima limewakumba
nisahihi pia mimi nimeliona hilo tatizo nilitaka ni irestore cm ila nikahusisha na uchaguzi nikaona nisubiri uishe nione
 
Back
Top Bottom