Yani vitu nivingi vya kazini mkuu na Mambo mengine na imetokea ghaflaNingekuwa mimi kabla sijaleta huu Uzi ningejaribu kuhamisha vitu vya maana Kwanza ndio ushauri mwingine ufuate, hakuna kitu naumia kama file langu kufutika naumia sana
Tusubiri washauri wanakuja kwa.msaada zaidi, Ila Mimi hatua ya Kwanza ni hiyoYani vitu nivingi vya kazini mkuu na Mambo mengine na imetokea ghafla
Hakuna kitakacho potea hapo. Hard disk ndio imebeba vitu vyako na vitakua salama. Ila kinga ni bora kuliko tiba. Kma una external hamisha vitu muhimuHello laptop yangu Hp mwanangu kaipiga imeachia kwa nyuma na ina vitu vingi vya muhimu sana nahofia inawezekana ikazima, ila kuwaka inawaka fresh issue ni nyuma hapoo naomba msaada inahitajika nini kuirudisha mahala pake? Na gharama ya matengenezo
View attachment 1688953View attachment 1688954View attachment 1688955