Msaada wa haraka nipo shambani

popo1986

JF-Expert Member
Jul 30, 2014
1,120
371
Ninashida na kuuliza Dawa ya wadudu nipo ktk shamba la matikiti nahitaji kubadilisha Dawa baada ya Kuona Dawa nitumiayo haina madhara kwani wadudu wana endelea kula niche yangu
Sasa nimeadhimia kupiga Dawa hii kwa sasa naomba maelezo mwenye nayo
1468848609978.jpg
1468848628905.jpg
 
ungefunguka kidogo ukaonyesha na picha za shamba tukajua huenda dawa unayotumia haifai kwa wadudu hao wanaoshambulia shamba. matikiti ni mtihani mkubwa sana hasa kwenye dawa maana growth rate yake ni kubwa hivyo kuathirika kwake ni haraka sana. mimi nilichelewa kutibu utitiri kwa muda wa wiki moja tu nikapata zero shamba la acre moja na nusu. mpaka nikayumba kidogo financially so jaribu kuwa makini ikiwezekana nenda na bwana shamba akakushauri vizuri. kwa onsite inspection atakushauri vizuri.
 
Back
Top Bottom