Einsten
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 919
- 774
TV nenda tu kkoo labd kama umepend aina flan ya tv na unapenda uipate kwa gharama yoyoye but kama lengo ni kuminimize cost nenda tu kariakoook kwaiyo kak unanishaurije kama tv bei pamoja na usafiri si inaweza ikawa sawa tu na tz?