Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Habari zenu Wakuu,
Kuna rafiki yangu alinikopa laki 3 tarehe 1 mwezi November mwaka huu, tukaandikishana na kutiliana saini mimi, yeye na rafiki mwingine kama mdhamini kwani ndiye aliyenitambulisha kwa huyu rafiki mkopeshaji, katika saini hizo mkopeshaji alinitaka nimrudhie laki nne na nusu tarehe 30 Novemba yaani jana, kwa bahati mbaya mpaka jana nimeshindwa kupata hiyo laki nne na nusu bali nimempelekea laki 2 amekataa anadai nimekiuka makubaliano na kuwa kama naendelea kuchelewesha mwezi mwingine nitakuja kulipa laki na nusu zaidi yaani sasa mpaka tarehe 31 Desemba nitatakiwa kulipa laki 6 lasivyo ananifunga.
Msaada wenu jamani nitamtokaje hakimu hapa? kwani ninauhakika mpaka muda huo sina uhakika kama nitakuwa nimepata.
Msaada wenu wa mawazo jamani.
Kuna rafiki yangu alinikopa laki 3 tarehe 1 mwezi November mwaka huu, tukaandikishana na kutiliana saini mimi, yeye na rafiki mwingine kama mdhamini kwani ndiye aliyenitambulisha kwa huyu rafiki mkopeshaji, katika saini hizo mkopeshaji alinitaka nimrudhie laki nne na nusu tarehe 30 Novemba yaani jana, kwa bahati mbaya mpaka jana nimeshindwa kupata hiyo laki nne na nusu bali nimempelekea laki 2 amekataa anadai nimekiuka makubaliano na kuwa kama naendelea kuchelewesha mwezi mwingine nitakuja kulipa laki na nusu zaidi yaani sasa mpaka tarehe 31 Desemba nitatakiwa kulipa laki 6 lasivyo ananifunga.
Msaada wenu jamani nitamtokaje hakimu hapa? kwani ninauhakika mpaka muda huo sina uhakika kama nitakuwa nimepata.
Msaada wenu wa mawazo jamani.