Msaada wa haraka......mwongozo wenu wakuu,

NGOSWE.120

JF-Expert Member
Jul 9, 2011
219
233
Wakuu wana JF, heshima kwenu woteeee!

Naomba mwongozo wenu juu ya tatizo langu.

Mimi ni mfanyakazi serikalini (mwalimu wa shule ya msingi - TGTS E, cheo changu ni Afisa Elimu daraja la kwanza, ninataka kuagiza gari kutoka japani lenye cost ya US.Dollar 8460 hapo linakuwa limefika DSM,kabla ya kulitoa bandarini/ushuru wa forodha!

Tatizo langu ni kuwa nataka kutumia kigezo cha utumishi serikalini ili nipate exemption ya ushuru wa forodha, sasa ikiwa mimi cheo changu ndio hicho hapo juu, na mwajiri wangu ni mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya, kama mjuavyo sisi walimu wa kada ya chini:-

1. Nina-qualify kupata exemption ya ushuru wa forodha kwa ajili ya kuingiza gari nchini?
2.Kama na-qualify je hizo process nianzie wapi wakuu wangu, maana nina hamu na hiyo kitu/gari!
3. Mkurugenzi /mwajiri wangu hawezi niletea longo longo? na je mwongozo unasemaje juu ya hili tatizo langu?

NB:Wakuu wote wana Jf, natanguliza shukrani zangu za dhati kwa nyote mtakao nisaidia ili kufanikisha hii azma yangu ya kumiliki hii gari amabayo kiu-ukweli nimeipenda sana!


ASANTENI SANA - NA KAZI NJEMA!

Wenu mpendwa,

Ngoswe.120
 
Kwa mujibu wa TRA ili upate exemption inabidi mshahara wako uwe at least TGS D au equivalent yake na zaidi. Sijui hiyo scale yako kama ni equivalent na TGS Dau zaidi kama ungesema ni sh ngp ningekwambia kama unapata exemption au la. Hata hvyo ukienda TRA watakujibu on the spot
 
Kwa mujibu wa TRA ili upate exemption inabidi mshahara wako uwe at least TGS D au equivalent yake na zaidi. Sijui hiyo scale yako kama ni equivalent na TGS Dau zaidi kama ungesema ni sh ngp ningekwambia kama unapata exemption au la. Hata hvyo ukienda TRA watakujibu on the spot
asante mkuu kwa maelezo yako mkuu
 
Khaaaa we ni fisadi dagaa hakiamungu,me mwenyewe tgs e ila sina gari la $8500,mana hii ni mikato ya prado na nn,kazi kweli kweli
 
Khaaaa we ni fisadi dagaa hakiamungu,me mwenyewe tgs e ila sina gari la $8500,mana hii ni mikato ya prado na nn,kazi kweli kweli

Mhhh,kwakweli no hard feelings,lkn jamaa anatisha,mwalimu ana afford gari with an FOB cost of $8,500!!!!....kwanza utalimudu vip?
Nways,majibu ya swali lako sina,ila i felt compelled to expresss my atonishment!
 
Khaaaa we ni fisadi dagaa hakiamungu,me mwenyewe tgs e ila sina gari la $8500,mana hii ni mikato ya prado na nn,kazi kweli kweli

sasa kama anafanya biashara zingine awezi kumudu kupata izo pesa?? wewe endelea kusubiri mwisho wa mwezi ufike!
 
Mhhh,kwakweli no hard feelings,lkn jamaa anatisha,mwalimu ana afford gari with an FOB cost of $8,500!!!!....kwanza utalimudu vip?
Nways,majibu ya swali lako sina,ila i felt compelled to expresss my atonishment!

kama hukuwa na jibu kwa ombi lake ni kwamba hukuwa na msaada anao hitaji.. sio sawa kuhoji atalimudu vp..
 
Acheni hizo, kama ana biashara zake ??wewe jibu swali na kama huwezi tulia,...!
 
sasa kama anafanya biashara zingine awezi kumudu kupata izo pesa?? wewe endelea kusubiri mwisho wa mwezi ufike!
<br />
<br />

Kma ndo hivyo basi tusiwaite wakina lowassa na mkapa mafisadi sbb nao wanabiashara zako pia!
 
Mhhh,kwakweli no hard feelings,lkn jamaa anatisha,mwalimu ana afford gari with an FOB cost of $8,500!!!!....kwanza utalimudu vip?
Nways,majibu ya swali lako sina,ila i felt compelled to expresss my atonishment!

Acheni chuki binafsi,inawezekana akawa kazini mwaka wa 30 so akawa kakusanya hela siku nyingi.pia yawezekana katoka familia bora.
wengine hawajabweteka na ualimu wao wakaanza kujihusisha na biashara mwishoe kafanikiwa wewe wabaki kukinga mshahara mwisho wa mwezi.
na hiyo dollar 8000 kasema ni CIF sio FOB
 
Kwa mujibu wa TRA ili upate exemption inabidi mshahara wako uwe at least TGS D au equivalent yake na zaidi. Sijui hiyo scale yako kama ni equivalent na TGS Dau zaidi kama ungesema ni sh ngp ningekwambia kama unapata exemption au la. Hata hvyo ukienda TRA watakujibu on the spot
TGTS E ni zaidi ipo juu ya TGS D jamani mbona inajieleza kabisa? Wakati TGS D ni 446,100/=, TGTS E ni 618,300/=. Back to the topic Mkuu Ngoswe nakumbuka kama ulisema unafundisha Songea TTC hivi!!!! kama nakumbuka vizuri. If yes Mwajiri wako hawezi kuwa DED bali Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu. Kuhusu Exemption nenda TRA utapata habari hizo zote na kama sikosei inatakiwa ipitishwe na DAS/DC wa Wilaya husika then na RAS/RC wa Mkoa na kwamba haitarajiwi gari hilo liwe kwa jaili ya biashara na huruhusiwi kuuza kwa mtu mwingine kwa kipindi fulani nadhani miaka mitatu
Hope nimejaribu kuchangia Mkuu
 
TGTS E ni zaidi ipo juu ya TGS D jamani mbona inajieleza kabisa? Wakati TGS D ni 446,100/=, TGTS E ni 618,300/=. Back to the topic Mkuu Ngoswe nakumbuka kama ulisema unafundisha Songea TTC hivi!!!! kama nakumbuka vizuri. If yes Mwajiri wako hawezi kuwa DED bali Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu. Kuhusu Exemption nenda TRA utapata habari hizo zote na kama sikosei inatakiwa ipitishwe na DAS/DC wa Wilaya husika then na RAS/RC wa Mkoa na kwamba haitarajiwi gari hilo liwe kwa jaili ya biashara na huruhusiwi kuuza kwa mtu mwingine kwa kipindi fulani nadhani miaka mitatu
Hope nimejaribu kuchangia Mkuu

Kaka nakushukuru sana kwa michango yako hapo juu.ASANTE SANA MKUU! Nimekupata vema na hivi sasa naelekea TRA wanipe hizo taratibu au maelezo ya kina zaidi. Kwa kweli unatusaidia sana kutupatia taarifa zenye mashiko ambazo ni msaada mkubwa kwetu!

Mungu akubariki na pia kazi njema kaka!
 
  • Thanks
Reactions: SG8
[h=2]Re: Msaada wa haraka......mwongozo wenu wakuu,[/h]
quote_icon.png
By Madcheda
Khaaaa we ni fisadi dagaa hakiamungu,me mwenyewe tgs e ila sina gari la $8500,mana hii ni mikato ya prado na nn,kazi kweli kweli



Mhhh,kwakweli no hard feelings,lkn jamaa anatisha,mwalimu ana afford gari with an FOB cost of $8,500!!!!....kwanza utalimudu vip?
Nways,majibu ya swali lako sina,ila i felt compelled to expresss my atonishment!
Mwenzenu yawezekana yupo Mtimbira AU Ulanga analima sana mpunga.Kwa hesabu ya haraka sana ni gunia 290 za mpunga tu.Gunia moja la mpuga ni sh 50,000 la debe kumi.Tembea unone,kuna watu wanapata mpaka magunia 1000 tena wanataumia kilimo cha jembe la kukokotwa na ng'ombe.
 
Tatizo kuna watu wana cjuihata niwekeje.....we mtu kununua gari mnapooonda baada ya kumpa big up kwa hatua aliyopiga ckuhizi gari sio anasa ni basic need......so wewe/nyie co kwamba hamtaki kumiliki bali mnakua wavivu kugungua opportunities za kuwaongezea kipato ili kuafford needs zenu.
Msivunje watu moyo bana nyie wa wapiii? Kama huna msaada colazima kuchangia next time..we kausha tu.
 
mkuu hakuna haja ya kujipa mastrees yasiyo na sababu,usinunue gari ya hela nyingi kiasi hicho,kuna magari mazuri ya bei rahisi ya kukusaidia maisha yako
kama ni kweli badilishsa mawazo,ila kama unatania ni poa tu
 
Back
Top Bottom