zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
jamani yamenikuta mke wa mpangaji ametokea kunipenda na mpaka kuniweka wazi kuwa hataki mahusiano yoyote ila niwe tayari akiwa kwenye siku za kushika UJAUZITO,Ndo tukutane kuitumia hyo siku vizuri.
Then tusifahamiane tena hata mtoto akizaliwa nisitegemee kufahamu hilo,kwani akijigundua tu Ana mimba alinambia atamlazimisha Mme wake waende mi itakuwa ngumu kufahamu walipo.
Nimeonywa nisipotekeleza ntakiona cha mte makuni.
Njia panda wana JF.
Then tusifahamiane tena hata mtoto akizaliwa nisitegemee kufahamu hilo,kwani akijigundua tu Ana mimba alinambia atamlazimisha Mme wake waende mi itakuwa ngumu kufahamu walipo.
Nimeonywa nisipotekeleza ntakiona cha mte makuni.
Njia panda wana JF.