Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Madaktari nahitaji msaada wenu jamani,
Leo kuanzia saa tatu kamili asubuhi hii ninatakiwa niongoze kikao flani ambacho kitatupeleka mpaka saa saba bila kupumzika.
Sasa kimeibuka kituko cha ghafla,
Jana usiku limeanza tumbo la ghafla la KUHARA,
Hivi ninavyoandika nimeweka makazi uwani(chooni) kabisa yaani hali ni mbaya wakuu.
Na kikao hicho ni lazima kifanyike, labda itokee nife dakika hii.
Naomba msaada nitumie dawa gani itakayozuia KUHARA asubuhi hii?,
Tafadhari wakuu nahitaji sana msaada wenu!
Leo kuanzia saa tatu kamili asubuhi hii ninatakiwa niongoze kikao flani ambacho kitatupeleka mpaka saa saba bila kupumzika.
Sasa kimeibuka kituko cha ghafla,
Jana usiku limeanza tumbo la ghafla la KUHARA,
Hivi ninavyoandika nimeweka makazi uwani(chooni) kabisa yaani hali ni mbaya wakuu.
Na kikao hicho ni lazima kifanyike, labda itokee nife dakika hii.
Naomba msaada nitumie dawa gani itakayozuia KUHARA asubuhi hii?,
Tafadhari wakuu nahitaji sana msaada wenu!