Loly
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 509
- 209
mdogo wangu wakike anatatizo kabla hajafika kwenye cku zake huwa anaona bleed kidogo inakatika kwa muda wa kama siku 4 hivi inakua inatoka kitone inakatika baada ya hapo eti anakua mkavu kama siku 2,3 hivi then ndio siku zake zinaanza kwenye tarehe zilezile zake kama kawaida. Kwakweli hichi kitu kina mnyima raha sana dr. Riwa na wengineo jamani mawazo yenu yanahitajika saana
0
0