TURTEKING
Senior Member
- Nov 4, 2020
- 117
- 190
Katika pita pita zangu kitaa nikaokota bangili yenye rangi ya gold/ dhahabu niliona kama bati tu ila roho ilisita kuitupa baada ya kuiona Ipo tofauti kidogo Mimi sina ujuzi wowote ule wa kujua dhahabu fake na original
Niliichubua ukutani zaidi ya mara kumi ila ipo vile vile haichuniki wala kubadilika rangi
Naomba mnijuze njia za kawaida kabisa zinazo weza nisibitishia kuwa ni dhahabu fake au original
Nimeshindwa wake picha hapa ..
Niliichubua ukutani zaidi ya mara kumi ila ipo vile vile haichuniki wala kubadilika rangi
Naomba mnijuze njia za kawaida kabisa zinazo weza nisibitishia kuwa ni dhahabu fake au original
Nimeshindwa wake picha hapa ..