engine search
Senior Member
- Jan 4, 2020
- 174
- 88
Niliwai kua na mahusiano ya kimapenzi na msichana mmoja huko nyuma kidogo 2010s kwa wakati huo wote tulikua wanafunzi wa Elimu ya upili ila shule tofauti na Mimi nilitangulia kumaliza nikarudi nyumbani kwani kwa kipindi hicho nilikua nasoma Mtwara, ila nyumbani ni Lindi.
Baadae nae akamaliza tulipotezana kwa muda baadae alinitafuta tukaja kuonana mtandaoni tulikumbusha baadhi ya matukio ila tukafurahi kwa muda na aliniambia kua ana mchumba hivyo h asingeweza kua na nami ila aliniomba tuwe Marafiki wa kubwa kwa kweli ili liliniumiza saana nami nilimkatalia.
Mara nyingi zaidi ila yeye alisisitiza na kuniomba saana kitu kilichonipelekea nimkubalie na alifurahi mnoo tuko na umbali ila kitu kilichonipelekea niandike Uzi huu ni pale ninapompigia au kunipigia video call uwa anafanya kila analoweza kunichokoza saana kingono labda akifanya kama anajichua au kuminya na kulamba matiti wazi kabisaa ila ukimwambia tuwe wapenzi anakataa,,kasema nimpe nafasi ya urafiki katika maisha yangu kwani hawezi nisahau ila Mimi sijawai kukutananae kimwili.
Nisingeweza kua Rafiki yake pia nisingeweza kumuona anahuzunika,,nikiamini kua jf ni zaidi ya shule ya saikolojia pia ni zaidi ya chuo chenye wataharamu wa ushauri na saha nami naomba MSAADA WA MAWAZO NA USHAURI NIFANYAJE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadae nae akamaliza tulipotezana kwa muda baadae alinitafuta tukaja kuonana mtandaoni tulikumbusha baadhi ya matukio ila tukafurahi kwa muda na aliniambia kua ana mchumba hivyo h asingeweza kua na nami ila aliniomba tuwe Marafiki wa kubwa kwa kweli ili liliniumiza saana nami nilimkatalia.
Mara nyingi zaidi ila yeye alisisitiza na kuniomba saana kitu kilichonipelekea nimkubalie na alifurahi mnoo tuko na umbali ila kitu kilichonipelekea niandike Uzi huu ni pale ninapompigia au kunipigia video call uwa anafanya kila analoweza kunichokoza saana kingono labda akifanya kama anajichua au kuminya na kulamba matiti wazi kabisaa ila ukimwambia tuwe wapenzi anakataa,,kasema nimpe nafasi ya urafiki katika maisha yangu kwani hawezi nisahau ila Mimi sijawai kukutananae kimwili.
Nisingeweza kua Rafiki yake pia nisingeweza kumuona anahuzunika,,nikiamini kua jf ni zaidi ya shule ya saikolojia pia ni zaidi ya chuo chenye wataharamu wa ushauri na saha nami naomba MSAADA WA MAWAZO NA USHAURI NIFANYAJE.
Sent using Jamii Forums mobile app