Matty96
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 215
- 194
Wataalamu naombeni msaada wenu juu ya hii gari leo nimejatibu kuiwasha lakini inaishia tu kutoa cranking sound ila haiwaki.. taa za dashboard zinawaka zote lakini taratibu.. hata taa za nje zimepunguza mwanga. Ni Push to start kila nikibonjeza button huku nimekanyaga brake ili niwashe inaishia tu kwenye cranking sound ambayo ni weak sio ile ya kawaida ya kuwasha gari
Nimekwama... Nifanyeje!?
Nimekwama... Nifanyeje!?