Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
nina kichomi ambacho sijawahi kukipata,kimetokea hapa chini ya kifua upande wa kulia unapoanza tu mbavu,jamani kinauma sana toka jana,nimecheki maralia sina,nikachoma sindano ya diclofenac kikapoa kidogo tu na vidonge vya ampicillin,nisaidieni kwani sijalala kabisa, physical condition ambayo nahisi inaweza kuwa sababu ni may be kubadili mazingira,nimetoka dar joto kali nimekuja ushirombo ambako nahisi baridi toka nimefika 1 week ago.Plz help me